Uongo wa wabunge wetu!

babukijana

JF-Expert Member
Jul 21, 2009
13,097
15,988
MUENDELEZO WA MAZUNGUMZO YA MH. MO DEWJI
Katika Jimbo lake la Singida, Tangu kupata uhuru hadi mwaka 2005 kabla yeye hajawa mbunge. Kulikuwa na shule 2 tu.
Ambazo ni Dr. Salmini na Chief Senge
Shule ambazo zilikuwa zinatoa wanafunzi 360 kila mwaka.
Ila sasa baada ya kuingia Mh. Mo kuna shule 15 ambazo zinatarajia kutoa watoto 2,700.
Ikiwa ni tofauti mara nane zaidi ya mwanzo.


Shule moja ina mikondo 4 na kila darasa lina wanafunzi 45.
Hivyo kila shule ina watoto 180 wanaomaliza na kufanya mtihani wa kidato cha nne. form 4


Changamoto kubwa alionayo Mh. Mo na kitu anachojiuliza kila siku ni kuwa.
Je! hawa watoto 2,700 wanaomaliza kidato cha 4 kila mwaka waende wapi??
Au waishie kidato cha nne, na jibu lake ni hapana.


Ndio maana inamlazimu kuweka mikakati ya ujenzi wa shule za kidato cha 5 na cha 6 ndani ya Wilaya yake.
Kama kwa muda wa miaka 48 (1961 - 2009) kulikuwa na shule 2 tu.
Na sasa ndani ya miaka 3 baada ya uongozi wake alifanikiwa kuwa na shule 15.
Anaamini na ana hakika hawawezi kushindwa kujenga shule zaidi .
Kinachotakiwa ni ushirikiano na kujipanga
 
[QUOTE = babukijana; 805,907]Continuation of talks MH. MO Bokhari
Katika his State of Singida, From independence until 2005 before he got the MP. There were only 2 schools.
Which Dr. Chief Salmini and gay
Schools that offer were 360 students each year.
But now after entering the Hon. 15 mo there that expect schools to provide children 2700.
If the difference is eight times more than the beginning.


One school has a variety of forms 4 and each class has 45 students.
So each school has 180 children who completed the test and to Form Four. form 4


Challenge was onayo Hon. Mo and something he chojiuliza is that every day.
Is These 2700 children who completed 4 form every year to go where?
Waishie or Form IV, and his answer is no.


Why inamlazimu strategically building schools and Form 5 of 6 in his district.
As the years 48 (1961 - 2009) there were only 2 schools.
And now within 3 years after he succeeded his leadership the school had 15.
He believes and has surely can not fail to build more schools.
What is required is cooperation and kujipanga[/ QUOTE]
halow!tumekaa singida acha uongo wewe.
 
Back
Top Bottom