longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,197
- 3,994
Ila mkuu majibu yapo waziWatu hawafanyi research wenyewe ila wanategemea wengine ili wawape evidence.
Ila mkuu majibu yapo waziWatu hawafanyi research wenyewe ila wanategemea wengine ili wawape evidence.
Napenda kukusahihisha hapo kwenye kuhesabu kwa kurudi Nyuma ...umechanganya mkuuYesu alizaliwa mwaka 2 mi Kwa taarifa tuu. Kama umewahi kusoma historia zamani watu walikuwa wanahesabu kutoka juu kwenda chini kwahiyo Yesu alizaliwa mwaka 2 kutoka juu. Kwahiyo Kwa mtiririko huo ni kwamba 2, 1, 0, 1 ,2, 3 kwahiyo ndivyo ilivyo. Fuatilia miaka ya AD after death au huitwa ano domino na BC maanake Before christ. Hata kwenye historia ndio ilivyo
huu ndio msimamo wangu,nilitaka yeye sasa kwa mujibu wa msimamo wake aeleze kama Yesu hajawahi kuwepo,hii miaka ilianzishwa na nini????Japo kuwa si mimi uliyeninukuu....ningependa tuendeleze mjadala
Awali ya yote zamani hawakuwa wakihesabu kurudi nyuma bali walikuwa wakihesabu miaka baada ya tukio fulani mfano wakati wa mfalme fulani nk
Rejea biblia takatifu.
Danieli 1:1
Danieli 1:1 BHN
Mnamo mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Yehoyakimu wa Yuda, mfalme Nebukadneza wa Babuloni alikwenda Yerusalemu, akauzingira mji.
BHN: Biblia Habari Njema
Hawa wanazuoni wametudanganya juu ya hii miaka ilioko. Leo hii hata huu mwaka tulionao sio mwaka 2019 itabidi wataalamu hata wa humu akina Jr mshana Rakism Kiranga na wengine wathibitishe hili.
Kama Yesu alizaliwa mwaka 0 na kufa mwaka 34 iweje tuseme alikufa miaka 2019 iliopita
Yesu alikufa miaka 1985 iliopita (2019-34=1984) hivyo huu ni mwaka 1985
AD ni anno domino sio After Death.Yesu alizaliwa mwaka 2 mi Kwa taarifa tuu. Kama umewahi kusoma historia zamani watu walikuwa wanahesabu kutoka juu kwenda chini kwahiyo Yesu alizaliwa mwaka 2 kutoka juu. Kwahiyo Kwa mtiririko huo ni kwamba 2, 1, 0, 1 ,2, 3 kwahiyo ndivyo ilivyo. Fuatilia miaka ya AD after death au huitwa ano domino na BC maanake Before christ. Hata kwenye historia ndio ilivyo
Yesu ajawahi kuexist popote pale duniani..
Waafrika sababu ni wavivu/tegemezi ndio maana mnapenda sana kuokolewa na mtu/vitu visivyo exist.
History huandikwa na aliena mamlaka kipindi cha tawala tofauti za dunia, sasa jiongeze kujua yale waliyoyaficha kwenye history zao
Funua yaliyofichikaYesu ajawahi kuexist popote pale duniani..
Waafrika sababu ni wavivu/tegemezi ndio maana mnapenda sana kuokolewa na mtu/vitu visivyo exist.
History huandikwa na aliena mamlaka kipindi cha tawala tofauti za dunia, sasa jiongeze kujua yale waliyoyaficha kwenye history zao