SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Paschal Mayalla anahusika vipi na suaka hili.
Ndugu Paschal Mayala, Unatuzingua wazenji, Utumbu usituletee na kuitwa kiongozi wetu muongo halikubaliki. Sisi wazenji tuna mila na desturi zetu na kuna lugha ya kutumia ambayo haileti hisia za chuki. Mwandishi wa nakala hii na mletaji wake ni watu dhaifu sana. Ni watu wenye chuki na ubaya wa roho juu ya zanzibar. Kwa ufupi wazanzibari wamechoka kuhusu kero za muungano na usanii wa viongozi watanzania. The first opportunity we get, we'll be out of this UNION."