Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Jenerali Ulimwengu, Ana umri wa miaka 71mpaka sasa. Sasa Wakati JPM anatoa post za maDC Ulimwengu alikua na umri wa miaka 68 muda ambao Mtumishi wa Umma keshastaafu kisheria,kusema alikataa UDC ni hadithi za kutaka sifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app