Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,095
- 4,059
Kwanza nawasalimu kwa amani na furaha juu ya wrote walio katika mda huu macho. Mm binafsi ni MTU ambae najipambanua kuwa napinga na nazichukia dini za nje ndani ya bars la Afrika.
Na katika hili sitaacha kuwakumbusha watu wa Afrika ya kuwa tusikubali kuamini kuwa Afrika hakukuwa na hakuna dini. Dini za Mashariki ya kati zinamafunzo yasio sahihi kwa Afrika kwa sababu zifuatazo.
1. Zinamfanya mwafrika kuwa duni na masikini wa akili,(fikra),Mali na tamaduni(mtindo wa naisha. Kunafaida nyingi sana kufungamana na Imani za kiafrika kuliko hizo za nje ambazo hazina uhalisia.
2. Zinachochea Ubaguzi, Chuki,Kisasi n.k.
3. Hazitambui uwepo wa MTU mweusi popote duniani na hazimthamini.
4. Zipo Afrika kupeleleza na kutimiza matakwa yao tu. NB: Pamoja na matatizo mengi yanayosababishwa na dini hizo ila pia zinamafundisho mengi ya uwongo. Hata aibu hawana na hii yote imetokana na watu kushindwa kukubali vitu vya msingi na kufanya uwongo kuwa ukweli.
1. Shetani ni kiumbe na anaishi.
Watu kwa makusudi wanajitia ujinga na kufikia hatua ya kuamini kuwa shetani aliumbwa na anaishi duniani. Maovu yote yametokana na yy na mazuri ni kwa mungu. Mafundisho ya namna hii yanaonyesha ni kwa namna gani wamekuwa wakitudanganya. Iba,UA,Dhurumu alafu singizia shetani amekushawishi.
2. Kifo kinasababishwa/kuletwa na malaika anaetekeleza amri ya mungu. Mafundisho haya yanazihirisha ni namna gani mafundisho yao yote ni batiri na ni yauongo. Mazingira na hali yako ndio hupelekea kifo.
3. Kuna Malaika duniani na wanaishi na kufanya kazi zao.
4. Shahawa ni najisi na haitakiwi. Sisi sote ni matokeo ya shahawa.
5 Uchawi haupo na usiamini kutenda. Hapa naamini wote mnajua nguvu za giza zilivyo na athari ktk ulimwengu huu wa Mwili.
https://https-www-jamiiforums-com.0.freebasics.com/threads/ukweli-usiosemwa-juu-ya-dini-za-kiafrika.1589649/?iorg_service_id_internal=925946837445621;AfrVJkx5iXIEADh0
Saizi wameungana kwa denda mashehe na mapandre yaani full kunyonyana mate. Denda tu na hawa watu wanajua wanachofanya na wamoja.
INAENDELEA
Na katika hili sitaacha kuwakumbusha watu wa Afrika ya kuwa tusikubali kuamini kuwa Afrika hakukuwa na hakuna dini. Dini za Mashariki ya kati zinamafunzo yasio sahihi kwa Afrika kwa sababu zifuatazo.
1. Zinamfanya mwafrika kuwa duni na masikini wa akili,(fikra),Mali na tamaduni(mtindo wa naisha. Kunafaida nyingi sana kufungamana na Imani za kiafrika kuliko hizo za nje ambazo hazina uhalisia.
2. Zinachochea Ubaguzi, Chuki,Kisasi n.k.
3. Hazitambui uwepo wa MTU mweusi popote duniani na hazimthamini.
4. Zipo Afrika kupeleleza na kutimiza matakwa yao tu. NB: Pamoja na matatizo mengi yanayosababishwa na dini hizo ila pia zinamafundisho mengi ya uwongo. Hata aibu hawana na hii yote imetokana na watu kushindwa kukubali vitu vya msingi na kufanya uwongo kuwa ukweli.
1. Shetani ni kiumbe na anaishi.
Watu kwa makusudi wanajitia ujinga na kufikia hatua ya kuamini kuwa shetani aliumbwa na anaishi duniani. Maovu yote yametokana na yy na mazuri ni kwa mungu. Mafundisho ya namna hii yanaonyesha ni kwa namna gani wamekuwa wakitudanganya. Iba,UA,Dhurumu alafu singizia shetani amekushawishi.
2. Kifo kinasababishwa/kuletwa na malaika anaetekeleza amri ya mungu. Mafundisho haya yanazihirisha ni namna gani mafundisho yao yote ni batiri na ni yauongo. Mazingira na hali yako ndio hupelekea kifo.
3. Kuna Malaika duniani na wanaishi na kufanya kazi zao.
4. Shahawa ni najisi na haitakiwi. Sisi sote ni matokeo ya shahawa.
5 Uchawi haupo na usiamini kutenda. Hapa naamini wote mnajua nguvu za giza zilivyo na athari ktk ulimwengu huu wa Mwili.
https://https-www-jamiiforums-com.0.freebasics.com/threads/ukweli-usiosemwa-juu-ya-dini-za-kiafrika.1589649/?iorg_service_id_internal=925946837445621;AfrVJkx5iXIEADh0
Saizi wameungana kwa denda mashehe na mapandre yaani full kunyonyana mate. Denda tu na hawa watu wanajua wanachofanya na wamoja.
INAENDELEA