nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,573
- 2,135
Kwa hiyo we unaona mabaharia wakuu wote ma wasafiri maarufu baharini kama kina columbas ni wazushi kwa sababu hawajapeleka mabaki maabala kuthibitisha. Hao ni mashetani ya baharini, yanaonekana yanapotaka yenyewe na sio wewe unapotaka, ni kama popobawa na mapepo mengine, kutaka watu wathibitishe haitawezekana, ila ipo siku yatakutokea, na wewe utashindwa kuthibitisha na utaonekana mzushi.