COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
Utaitwa wewe mkuu!!!Nae aitwe kwenye kamati kwa kusema uongo maana amelidhalilisha Bunge.
Utaitwa wewe mkuu!!!Nae aitwe kwenye kamati kwa kusema uongo maana amelidhalilisha Bunge.
Hata kidogo! Bethlehemu leo hii iko kwenye eneo la mamlaka ya Palestina, Yerusalemu iko Israeli. Katikati kuna ukuta. Unahitaji kuonyesha pasipoti ukitaka kuvuka mpaka.Mkuu,
Betlehemu ni sehemu ya Yerusalemu.
Ni sawa na Sinza kuwa sehemu ya Dar es Salaam.
Biblia inataja "Bethlehemu" haisemi "Bethlehemu sehemu ya Yerusalemu"Mkuu,
Betlehemu ni sehemu ya Yerusalemu.
Ni sawa na Sinza kuwa sehemu ya Dar es Salaam.
Asante kwa masahihisho ya kistaarabu. Naamini mjinga hapo ni typo - ulikusudia mji.Mkuu Bethlehem ni mji upo palestina
Na Jerusalem ni mjinga upo israel
Unapenda matusi, ona simu janja ilivyokuumbua.Mkuu Bethlehem ni mji upo palestina
Na Jerusalem ni mjinga upo israel
Dah ni mji mkuu..Asante kwa masahihisho ya kistaarabu. Naamini mjinga hapo ni typo - ulikusudia mji.
HahahaaUnapenda matusi, ona simu janja ilivyokuumbua.
Nimekuelewa.Biblia inataja "Bethlehemu" haisemi "Bethlehemu sehemu ya Yerusalemu"
Hayo ni ya kwako siyo ya Biblia..
Ahahahah dah! Eti Pimbimaji!!! Unazingua bwana mzeeOna hili lishamba. Kwaio kukaa huko ndo unakosa staha ya kumuelekeza mwingine. Pimbimaji mdogo
Lilishawekwa hapa kitambo sana mkuu Uongo mwingine wa Spika Ndugai kuhusu Yesu kwenda YerusalemuMheshimiwa pamoja na ile barua ya kuomba radhi Watanzania bado kafanya kosa juu ya kosa. Yusufu (na mkewe) alikwenda mji wa Daudi unaoitwa Bethlehemu na si Yerusalemu. Hili ndilo jambo ambalo watu wengi hawajaligundua. Tusome:
Luka 2 : 4-5
4 Yusufu naye aliondoka Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda kwenda Uyahudi mpaka mji wa Daudi, uitwao Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni wa mbari na jamaa ya Daudi;
5 ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.
Hiyo barua ya kukiri mapungufu nayo pia inamapungufu hiyo ndio hoja ya mleta uzi.Mtu ameshakiri kwa barua, kwamba ulimi uliteleza kuendelea kujadili ni upungufu wa hoja period