Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Jana kuna auntie wa rafiki yangu alipata dharura kwanza mumewe ni Dr lakini still aliamua ampeleke private, walianza TMJ akakuta pamejaa na Aghakhan pia hii ni kutokana na wengi kukimbilia private kwani Muhimbili hakuna huduma period.....ilibidi mumewe afanye juhudi ya kuwaomba madaktari wenzake wakubali kumhudumia Muhimbili, sasa ndio anapata huduma lakini ni uongo kusema kuwa kuna huduma kama yule msemaji wa Muhimbili anapopotosha watu kwenye vyombo vya habari tena uso wake ukiwa umepambwa na tabasamu