Uonevu Mkubwa Tarime.....Barua Ya Wazi Kwa JOHN Magufuli ..... SerikaliYa JK Mko Wapi?

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Sisi wakazi wa sirari na wilaya ya tarime kwa ujumla tumepatwa na tatizo la bomoa bomoa na zoezi hili limeanza 2march mwaka huu baada ya tangazo la kupewa siku saba tuwe tumebomoa makazi yetu pasipo fidia yoyote,naamini mnajua ugumu wa maisha uliyo kwa sasa .Hawa wakubwa wanatumia umasikini wetu na uelewa mdogo tulionao kutunyanyasa kwa kutumia mabafu kuvunja nyumba zetu na kutufanya tuwe wakimbizi ndani ya nchi yetu,kibaya zaidi wanaziacha nyumba za viongozi wetu kama madiwani na baadhi ya maafisa .Ombi letu ni kuwaomba ndugu zetu wenye uelewa wa haya mambo mtusaidie na kikubwa zaidi tutafurahi ujumbe wetu huu ukiwafikia wakubwa hata kwa njia ya blog zetu na kokote pale mnapokutana nao ili wajue kwamba ,vijana wao wanaosimamia zoezi hili hawatutendei haki na kama kuna fedha ziliwahi kutolea na serikali kufidia hasara hizi kwa raia basi hawa watu waoa watakuwa wamekula na kinachofanyika sasa ni kutimiza wajibu wao kwa kunyanyasa rai.Tunaomba msaada wenu kutuwekea file tuliloambatanisha kwenye hii thread muisambaze ili wakizipitia walione na raia wote wapenda haki wajue kuwa kuna ndugu zao wanateseka huku vijijini.kama mtaguswa mnaweza kutufikishia ujumbe wetu kwa wahusika pia. Samahani tumewatumia nyie kama kaka zetu na kwa kuwa tunatambua msaada wenu katika kutetea hazi zetu,tuliowanyonge.Aksanteni

attachment

View attachment 24321
 
Sisi wakazi wa sirari na wilaya ya tarime kwa ujumla tumepatwa na tatizo la bomoa bomoa na zoezi hili limeanza 2march mwaka huu baada ya tangazo la kupewa siku saba tuwe tumebomoa makazi yetu pasipo fidia yoyote,naamini mnajua ugumu wa maisha uliyo kwa sasa .Hawa wakubwa wanatumia umasikini wetu na uelewa mdogo tulionao kutunyanyasa kwa kutumia mabafu kuvunja nyumba zetu na kutufanya tuwe wakimbizi ndani ya nchi yetu,kibaya zaidi wanaziacha nyumba za viongozi wetu kama madiwani na baadhi ya maafisa .Ombi letu ni kuwaomba ndugu zetu wenye uelewa wa haya mambo mtusaidie na kikubwa zaidi tutafurahi ujumbe wetu huu ukiwafikia wakubwa hata kwa njia ya blog zetu na kokote pale mnapokutana nao ili wajue kwamba ,vijana wao wanaosimamia zoezi hili hawatutendei haki na kama kuna fedha ziliwahi kutolea na serikali kufidia hasara hizi kwa raia basi hawa watu waoa watakuwa wamekula na kinachofanyika sasa ni kutimiza wajibu wao kwa kunyanyasa rai.Tunaomba msaada wenu kutuwekea file tuliloambatanisha kwenye hii thread muisambaze ili wakizipitia walione na raia wote wapenda haki wajue kuwa kuna ndugu zao wanateseka huku vijijini.kama mtaguswa mnaweza kutufikishia ujumbe wetu kwa wahusika pia. Samahani tumewatumia nyie kama kaka zetu na kwa kuwa tunatambua msaada wenu katika kutetea hazi zetu,tuliowanyonge.Aksanteni

attachment

View attachment 24321
ujinga kichwani sishangai

serikalii hii waliojaa
 
Duh! Jamani poleni ila hawa jamaa wamezidi, uonevu wa jinsi hii af watu wasiandamane. Jamani watalaamu wa sheria Jf wasaidieni hawa ndugu zetu
 
Sisi wakazi wa sirari na wilaya ya tarime kwa ujumla tumepatwa na tatizo la bomoa bomoa na zoezi hili limeanza 2march mwaka huu baada ya tangazo la kupewa siku saba tuwe tumebomoa makazi yetu pasipo fidia yoyote,naamini mnajua ugumu wa maisha uliyo kwa sasa .Hawa wakubwa wanatumia umasikini wetu na uelewa mdogo tulionao kutunyanyasa kwa kutumia mabafu kuvunja nyumba zetu na kutufanya tuwe wakimbizi ndani ya nchi yetu,kibaya zaidi wanaziacha nyumba za viongozi wetu kama madiwani na baadhi ya maafisa .Ombi letu ni kuwaomba ndugu zetu wenye uelewa wa haya mambo mtusaidie na kikubwa zaidi tutafurahi ujumbe wetu huu ukiwafikia wakubwa hata kwa njia ya blog zetu na kokote pale mnapokutana nao ili wajue kwamba ,vijana wao wanaosimamia zoezi hili hawatutendei haki na kama kuna fedha ziliwahi kutolea na serikali kufidia hasara hizi kwa raia basi hawa watu waoa watakuwa wamekula na kinachofanyika sasa ni kutimiza wajibu wao kwa kunyanyasa rai.Tunaomba msaada wenu kutuwekea file tuliloambatanisha kwenye hii thread muisambaze ili wakizipitia walione na raia wote wapenda haki wajue kuwa kuna ndugu zao wanateseka huku vijijini.kama mtaguswa mnaweza kutufikishia ujumbe wetu kwa wahusika pia. Samahani tumewatumia nyie kama kaka zetu na kwa kuwa tunatambua msaada wenu katika kutetea hazi zetu,tuliowanyonge.Aksanteni

attachment

View attachment 24321
Poleni sana mkuu na wote mliokumbwa na masahibu haya, serikali ya kulindana taabu tupu!!!
 
''...kutumia mabafu kuvunja nyumba zetu na kutufanya tuwe wakimbizi ndani ya nchi yetu....'' Ukuryani huko.
Poleni sana!
 
Ndugu wananchi wa Tarime

Kama mnazo hati halali za umiliki wa nyumba zenu na mmekuwa mkilipa kodi ya ardhi na majengo
katika halmashauri na pia kama hamjawahi kupewa fidia yeyote ya nyumba zenu.

Mnachotakiwa kufanya kwanza ni kujikusanya nyote mkawa kitu kimoja. Umoja ni nguvu. Halafu baada ya hapo
ni kumtafuta mwanasheria. Mkishampata mwanasheria atakwenda mahakamani kuweka Court Injuction. Akishaweka CI
bomoa bomoa itasitishwa, halafu atafungua kesi ya msingi. Kama kweli mna haki basi mahakama itaamua mtalipwa fidia
kulingana na sheria na taratibu za nchi huu ndio ushauri wangu. Mimi nilishaona ukifanya kazi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom