Uonevu dhidi ya Waislam UDOM: Msikiti wavunjwa, wafanyakazi wanataaluma 11 wahamishwa

Huu udini unaoonyeshwa na serikali ya awamu ya tano huenda ukaigharimu taifa. Eti wamehamishwa kwa sababu idara ina watu wa dini moja! Mbona Magufuli anateua watu wa kanda moja, dini moja na kabila moja?
 
*KADHIA MSIKITI UDOM YATUA IKULU*

Mheshimiwa Raisi John Magufuli amesema anatambua katika maeneo ya Vyuo Vikuu panastahili kujengwa Msikiti na Kanisa ili kusaidia kuwajenga kiimani wanafunzi wanaosoma katika vyuo hivyo.

Kauli hiyo imekata mzizi wa fitna ulioibua sintofahamu hivi karibuni Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kufuatia uongozi wa Chuo hicho kusambaratisha harakati za ujenzi wa Msikiti uliokuwa unaendelea kujengwa chuoni hapo. Raisi Magufuli ametoa kauli hiyo katika Mkutano wake na Viongozi wa dini uliofanyika Jumatano wiki hii Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Awali katika Mkutano huo, Amir wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Mussa Kundecha na Kaimu Katibu Mkuu wa Bakwata, Ustadhi Nuhu Mruma, kwa nyakati tofauti walimuomba Mheshimiwa Rais Magufuli kulitupia macho suala la Msikiti wa UDOM na kulipatia ufumbuzi.

"Naomba niliseme hili mbele yako Mhe.Rais. ambalo unaweza kulifanyia kazi. Wiki moja iliyopita tumejiwa na ndugu zetu waislamu kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, wakilalamika kubomolewa uzio uliozungushiwa kwaajili ya ujenzi wa Msikiti." Alisema Sheikh Kundecha.

Sheikh Kundecha aliishukuru Serikali kwa kuona umuhimu wa kutenga maeneo kwa ajili ya nyumba za ibada katika Chuo hicho kwa Waislamu na Wakristo, kwani ni jambo muhimu katika kuwajenga wananchi wake. Alisema katika hatua hiyo wapo walioanza kutekeleza jambo hilo kwa kuendeleza eneo la ibada, hata hivyo akasema inawezekana utendaji haukuwa mzuri kiasi kwamba Uongozi wa Chuo umesitisha uendelezaji wa maeneo hayo ya ibada. "Mimi niliamini kusitisha huko ujenzi huo kungekuwa katika muelekeo wa kutafuta namna nzuri ya kuliweka suala hilo katika utaratibu mzuri na si kufuta au kusitisha uwepo wa nyumba za ibada chuoni hapo"

Lakini usitishaji huo umekwenda mbali zaidi kwa uongozi kuingiza tingatinga kwenda kuvunja Msikiti na sisi pesa zetu ni za sadaka kwa kuchangishana, Waislamu wamejitolea wakiamini wanampa Mungu, kisha wanaona 'greda' linaingia na kubomoa. Alifafanua zaidi Sheikh Kundecha.

Ustadh Mruma yeye alitanabahisha kuwa migogoro kama hiyo inapotokea ni bora ikatafutiwa ufumbuzi unaokubalika kwa pande zote na kwamba viongozi wa kiimani hutiiwa zaidi na waumini wao na kupokea maagizo kwa jambo ambalo linagusa imani zao.

Alisema mwaka 2016 Mufti Abubakari Zubeir alitembelea Chuoni hapo na kuonyeshwa eneo hilo ambalo lilitengwa kwaajili ya kujengwa Msikiti na akatoa baraka zake na utaratibu ulikuwa ukiendelea.

"Lakini Mh. Rais (Magufuli) kwa bahati mbaya sasa ilitokea sintofahamu ambayo hadi sasa hatujapata maelezo ya kina yaliyopelekea kusambaratisha harakati za ujenzi huo, sasa hali hiyo imeleta tafrani kubwa." Alisema Ustadh Mruma. Alisema, suala hilo pia limefikishwa BAKWATA, lakini wao kama walinda amani wasio kuwa na silaha, wamelituliza ili wapite katika njia sahihi na kulitatua katika njia ambayo inafaa kwa amani ya nchi. Mara baada ya viongozi wa dini kumaliza kutoa maoni yao, Mheshimiwa Rais Magufuli alianza kujibu baadhi ya hoja za viongozi wa dini na nyingine kuahidi kuzichukua na kwenda kuzishughulikia.

Akijibu kadhia ya Msikiti UDOM, Rais Dkt. Magufuli, alisema kwa utaratibu na mwendo unaotumika katika Vyuo vingine kuhusu nyumba za kuabudia (Msikiti na Kanisa) utakuwa kama ule wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Raisi Magufuli alitoa mfano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kwamba ndio huo huo utatumika katika Chuo Kikuu cha Dodoma.

"Lakini natambua pia kwamba katika maeneo ya vyuo vikuu panahitaji kujengwa mahali pakuabudia, panastahili kujengwa kanisa ambapo watu wote wenye imani zao watakuwa wanaingia humo kwa utaratibu maalum na pajengwe Msikiti pia ambao nao utatumika kwa utaratibu maalum."

"Kwa hiyo hata Dodoma (UDOM) mwendo ule ule wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ndio utaendelea kuwa pale Chuo Kikuu cha Dodoma na haswa kwasababu wanafunzi wanasoma pale lazima tuwajenge kiimani" Alisema Rais Dkt. Magufuli.

Akifafanua zaidi, Rais Dkt. Magufuli, alisema katika vyuo vikuu, kuna Msikiti na Kanisa.

Alisema, hata alipokuwa anasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kuna Msikiti ambao unatumiwa na madhehebu yote ya Kiislamu, wanaswalia kwa pamoja katika Msikiti huo.

Kwa upande wa Kanisa, Rais Dkt. Magufuli alisema madhehebu yote ya Kikristo, pia kuna Chapel (Kanisa) pamoja na tofauti ya madhehebu laikini wanawekeana utaratibu wa zamu za ibada, kwa maana wanaingia Wakatoliki (RC) wakimaliza wanatoka na kuingia dhehebu jingine mpaka madhehebu yote yanamalizika.

"Dodoma tunalishughulikia. 'Spirit (nia na dhamira) ile ile ya Chuo Kikuu (UDSM) ndio itaendelea UDOM". Alimaliza Rais Magufuli.
safi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utawala huu sio rafiki kwa waislamu ingawa tunajiaminisha ni rafiki ili swala msikiti dodoma kuvunjwa liliwekwa wazi na mashehe wa bakwata walienda mbali mpaka jiwe la uzinduzi liliwekwa na mufti na wale mashehe ya bakwata wawili na wakataka Rais achukue hatua lakini mpaka Leo kimya
 
Hapa ndio mnadhirisha kuwa mlikuwa na nia ovu, mbona mnakomalia sana huo uhamisho utadhani hicho chuo ni madrasa na nyie ndio mliowaajiri hao walimu? Si waliapa kufanya kazi sehemu yeyote? Huko walikopelekwa sio vyuo vya serikali? Kama hawajaridhika waache kazi waajiliwe msikitini ieleweke moja. Kila sehemu na taratibu zake heshimuni mamlaka.
 
Mimi ninakaa Dodoma na Udom kila mara nipo kule kwa kiasi tunajua kitu gani kilikuwa kiktendeka wakati wa prof Kikula na prof Mlacha hakuna asiyejua hata Mkuu mwenyewe anajua kwamba kulikuwa na Udini ulio vuka mipaka.

Kama Waislamu wakitaka kujenga msikiti chuoni tena chuo cha Umma na Dini singine zikidai kujenga makanisa na mahekalu kuktakuwa kuna kusoma au kutangaza dini na madua.

Mbona chuo Kikuu cha st john hakuna msikiti na waislamu wamepewa sehemu nzuri tu ya kufanyia dua.

Mbona CBE hakuna msikiti wala makanisa na kila kitu kinakwenda vizuri bila shida.

Vyuo vyote dodoma havina misikiti wala makanisa isipokuwa chuo kikuu cha st johns na wao hilo kanisa lilikuwepo toka enzi za mkoloni kwa maana chuo hiko ilikuwa shule ya kanisa la Anglikani miaka za 1940 na baadaye kutaifishwa na kuwa shule ya sekondari mazengo na baadaye tena kurudishwa kanisa la Anglikani kwa St John university.

Haya yanayotokea UDOM ni dhambi ya prof Kikula na Prof Mlacha kuendeleza Uislamu katika Chuo hicho kikubwa Afrika mashariki na kati.

Narudia kusema Wailamu wengi walioajiriwa Udom waliajiliwa kimkakati wa kuwainua na kuwaendeleza Waislamu.

Sina uhakika lakini yalisemwa hapo Udom kwamba kuna fist lady mmoja naye anahusika sana na kupandikiza kwa makusudi/kimkakati Uislamu hapo Udom.

Ombi kwa serikali ni kuchuja na kufuatilia kikamilifu mienendo ya chuo kikuu cha Dodoma wakati wa prof kikula na Prof Mlacha (walikuwa ni zaidi ya Miungu watu Hapo chuoni kwa maana prof Mlacha alikuwa Mkuu wa Administration na Fedha na Kikula alikuwa ni Mkuu msaidizi wa chuo juu yake akiwepo Mh Mkapa).

Prof Mlacha ni Mpare. Wapare ni kabila dogo hapa nchini lipo kwenye wilaya moja tu. Lakini chunguza waajiriwa wapare hapo UDOM ndio utashangaa.

Sina chuki na mtu Ila ninachukia sana Ukabila na Udini unawafanya makabila na dini zingine kuwa wanyonge sana katika nchi yao.
Umesema yote nilotaka kusema.

Magufuli atakuwa analifahamu hili.

Siku ingine funguja zaidi. Hasa tuhuma za kurogana hukugusia ingawa mleta mada amejieleza jinsi walivyomshughulikia jamaa baada ya kuzuia ujenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatushangai. Tunajua, baada ya dunia kuondoa ukomunist, kinachofuata kuondolewa na uislamu. Sishangai.

Nenda maofisi mengi ya umma, mikristo imejimilikisha. Nenda kwenye ufisadi, wakiristo mnangoza.

Watoto wetu shule za msingi na secondary, hawapewi haki zao za kujistiri na kufanya ibada. Wanaovaa mihijabu, huvuliwa. Wakienda kusali ijumaa, wenzao husomeswa. Hii ni kinyume na maagizo na miongozo ya serikali

Mnapoteza muda mwingi kupambana na mlichokaririshwa.

Hakuna muislamu anayeogopa, mitihani na chuki za kidunia.

Pambaneni ila hamtoshinda

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanasali mara tano zote na zote wenzao wasisomeshwe wawasubiri

Duh
 
Watu wanasali mara tano zote na zote wenzao wasisomeshwe wawasubiri

Duh
Haizidi dk tano kila sala, ni sawa na wewe kwenda the next room kupiga soga.
Yeye anatumia muda wake kuchuma thawabu, wewe unatumia muda huu kujitayrishia mwisho wako mbaya haha kwa dunia.
 
Udom enzi zile kulikuwa na Utawala wa Kiislam mpaka kero. Namkumbuka yule mama Deputy Dean alikuwa mlemavu wa ngozi alikuwa mnoko kishenzi sijui bado yupo. Ujumlishe Prof Mlacha anakuambia Umenizid urefu na ujinga nakuzidi kila kitu mpaka mademu zako naku***a.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabadiliko ya uongozi wa chou tayari yameshafanyika. Kwa sasa hakuna uongozi wa juu!!
 
Udom enzi zile kulikuwa na Utawala wa Kiislam mpaka kero. Namkumbuka yule mama Deputy Dean alikuwa mlemavu wa ngozi alikuwa mnoko kishenzi sijui bado yupo. Ujumlishe Prof Mlacha anakuambia Umenizid urefu na ujinga nakuzidi kila kitu mpaka mademu zako naku***a.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka madam mmoja alianzisha ... Kwa wadada
Hakuna kuvaa nguo fupi wala suruali sas
Suma wakawa wanawarukisha kwata na kuwarudisha wakabairishe hahahhah
Social and humanities hahahhahha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wanavunja waislaam walilalaa nafikri ila wale wavunjaji na wao wajuwe RAIS HAPENDI UJINGA ANAPENDA WATUNWAKE WAISHI VIZURI KAMA NDUGU WAHESHIMIANE NDIO MAANA ALIWAITA MASHEIKH NA MAASKOFU KUJUA WOTE NDUGU NA WATANZANIA LETU MOJA DINI NI IMANI TU BUT WE ARE TANZANIAN TUPENDANE NA TUMPENDE RAIS WETU KWA JUHUDI NA HEKIMA ZAKE
 
Tatizo lenu hua mnaleta ubaguzi wa hovyo sana, kujitenga na kutengeneza ka_ uadui ka kijinga. Mimi naunga mkono kubomoa na ningekua karibu hapo ningeshiriki zoezi kikamilifu kabisa. Mkitaka kuswali nendeni sijui mnapaita Makulu au mjini. Shenzy kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wameumbwa kuchochea machafuko na vurugu
Viumbe haribiifu duniani ni kiti moto,wachin a na hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niingie chimbo kwa hii taarifa
Mimi ninakaa Dodoma na Udom kila mara nipo kule kwa kiasi tunajua kitu gani kilikuwa kiktendeka wakati wa prof Kikula na prof Mlacha hakuna asiyejua hata Mkuu mwenyewe anajua kwamba kulikuwa na Udini ulio vuka mipaka.

Kama Waislamu wakitaka kujenga msikiti chuoni tena chuo cha Umma na Dini singine zikidai kujenga makanisa na mahekalu kuktakuwa kuna kusoma au kutangaza dini na madua.

Mbona chuo Kikuu cha st john hakuna msikiti na waislamu wamepewa sehemu nzuri tu ya kufanyia dua.

Mbona CBE hakuna msikiti wala makanisa na kila kitu kinakwenda vizuri bila shida.

Vyuo vyote dodoma havina misikiti wala makanisa isipokuwa chuo kikuu cha st johns na wao hilo kanisa lilikuwepo toka enzi za mkoloni kwa maana chuo hiko ilikuwa shule ya kanisa la Anglikani miaka za 1940 na baadaye kutaifishwa na kuwa shule ya sekondari mazengo na baadaye tena kurudishwa kanisa la Anglikani kwa St John university.

Haya yanayotokea UDOM ni dhambi ya prof Kikula na Prof Mlacha kuendeleza Uislamu katika Chuo hicho kikubwa Afrika mashariki na kati.

Narudia kusema Wailamu wengi walioajiriwa Udom waliajiliwa kimkakati wa kuwainua na kuwaendeleza Waislamu.

Sina uhakika lakini yalisemwa hapo Udom kwamba kuna fist lady mmoja naye anahusika sana na kupandikiza kwa makusudi/kimkakati Uislamu hapo Udom.

Ombi kwa serikali ni kuchuja na kufuatilia kikamilifu mienendo ya chuo kikuu cha Dodoma wakati wa prof kikula na Prof Mlacha (walikuwa ni zaidi ya Miungu watu Hapo chuoni kwa maana prof Mlacha alikuwa Mkuu wa Administration na Fedha na Kikula alikuwa ni Mkuu msaidizi wa chuo juu yake akiwepo Mh Mkapa).

Prof Mlacha ni Mpare. Wapare ni kabila dogo hapa nchini lipo kwenye wilaya moja tu. Lakini chunguza waajiriwa wapare hapo UDOM ndio utashangaa.

Sina chuki na mtu Ila ninachukia sana Ukabila na Udini unawafanya makabila na dini zingine kuwa wanyonge sana katika nchi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningependekeza uzi huu sasa ufike mwisho kwa faida ya maelewano ya wananchi wa Tanzania ambao tumekuwa nayo kwa miaka mingi. Hiz dini zilikuja na meli zisitufikishe sehemu ambayo tutakuja kujuta huko mbele. Tuagalie maslahi mapana ya vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom