Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 9,867
- 12,211
Hilo ndilo tusi lenu kubwa pimb mkubwa nguruwe wewe. Eti mnajionaga ukimuita mtu kafir basi roho inasuuzika basi nawewe ni nguruwe! Wewe ni mbwaHaya endelea kudhani.kafiri mkubwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndilo tusi lenu kubwa pimb mkubwa nguruwe wewe. Eti mnajionaga ukimuita mtu kafir basi roho inasuuzika basi nawewe ni nguruwe! Wewe ni mbwaHaya endelea kudhani.kafiri mkubwa wewe
Hayachanganyi, isipokuwa ni chuki binafsi za watu ndizo zinazofanya mambo ya dini yaonekane hivyo.
Hivi kujenga nyumba za Ibada za dini zote katika Udom ni dhambi au shida au kero au???, kwa kusudi la watu wamuabudu Mungu. Mahali popote asipotakiwa Mungu basi mahali hapo Shetani atatawala na kutamalaki.
Katika kufikiria kwako kote ndio umebahatika kung'amua hivyo?Tatizo lenu hua mnaleta ubaguzi wa hovyo sana, kujitenga na kutengeneza ka_ uadui ka kijinga. Mimi naunga mkono kubomoa na ningekua karibu hapo ningeshiriki zoezi kikamilifu kabisa. Mkitaka kuswali nendeni sijui mnapaita Makulu au mjini. Shenzy kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
BORA UVUNJWE ILI TUSIPATE WAKINA PROF ALHJI CAG WAKUTUSUBUA TUKICHUKUA 1.5T ZETU
Msikiti utajengwa tu mtake au msitake.
Ila swala la ubaguzi wa kidini kati ya waislam na wakristu, Nadhani waislam wanaongoza kwa ubaguzi.
Nimezunguka mikoa mingi na sehem nyingi Tanzania na Africa ndio maana nasema hivi.
Ila yote tisa, ila nilichokutana nacho pale Tanga kwenye shule ya secondary ya Usagara kilikuwa ni 1st class.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti yako na Amber Rutty ni jina tu.Uislamu sio dini upo kwaajili ya kupotosha watu tu acha wabomoe tu
Utajengwa sehemu nyingine hapohapo udom.hakuna mwenye jeuri ya kuzuia
Umejenga hoja vizuri na nakubaliana na wewe. Ulipoingiza hoja za wapare ndio umeharibu kabisa hoja yako.Mimi ninakaa Dodoma na Udom kila mara nipo kule kwa kiasi tunajua kitu gani kilikuwa kiktendeka wakati wa prof Kikula na prof Mlacha hakuna asiyejua hata Mkuu mwenyewe anajua kwamba kulikuwa na Udini ulio vuka mipaka.
Kama Waislamu wakitaka kujenga msikiti chuoni tena chuo cha Umma na Dini singine zikidai kujenga makanisa na mahekalu kuktakuwa kuna kusoma au kutangaza dini na madua.
Mbona chuo Kikuu cha st john hakuna msikiti na waislamu wamepewa sehemu nzuri tu ya kufanyia dua.
Mbona CBE hakuna msikiti wala makanisa na kila kitu kinakwenda vizuri bila shida.
Vyuo vyote dodoma havina misikiti wala makanisa isipokuwa chuo kikuu cha st johns na wao hilo kanisa lilikuwepo toka enzi za mkoloni kwa maana chuo hiko ilikuwa shule ya kanisa la Anglikani miaka za 1940 na baadaye kutaifishwa na kuwa shule ya sekondari mazengo na baadaye tena kurudishwa kanisa la Anglikani kwa St John university.
Haya yanayotokea UDOM ni dhambi ya prof Kikula na Prof Mlacha kuendeleza Uislamu katika Chuo hicho kikubwa Afrika mashariki na kati.
Narudia kusema Wailamu wengi walioajiriwa Udom waliajiliwa kimkakati wa kuwainua na kuwaendeleza Waislamu.
Sina uhakika lakini yalisemwa hapo Udom kwamba kuna fist lady mmoja naye anahusika sana na kupandikiza kwa makusudi/kimkakati Uislamu hapo Udom.
Ombi kwa serikali ni kuchuja na kufuatilia kikamilifu mienendo ya chuo kikuu cha Dodoma wakati wa prof kikula na Prof Mlacha (walikuwa ni zaidi ya Miungu watu Hapo chuoni kwa maana prof Mlacha alikuwa Mkuu wa Administration na Fedha na Kikula alikuwa ni Mkuu msaidizi wa chuo juu yake akiwepo Mh Mkapa).
Prof Mlacha ni Mpare. Wapare ni kabila dogo hapa nchini lipo kwenye wilaya moja tu. Lakini chunguza waajiriwa wapare hapo UDOM ndio utashangaa.
Sina chuki na mtu Ila ninachukia sana Ukabila na Udini unawafanya makabila na dini zingine kuwa wanyonge sana katika nchi yao.
Uislamu ulipewa nafasi kubwa sana UDOM na tayari tulishaanza kuitana makafiri na kutengana kipumbavu, Kitu sipendi kuhusu uislamu ni kubagua makundi mengine na kuona kwamba hakuna dini zaidi ya wao, Vunja huo msikiti, na makanisa yasiruhusiwe kujengwa hapo.
Ni aibu taasisi kubwa kama UDOM kuwa na migogoro ya kidini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayachanganyi, isipokuwa ni chuki binafsi za watu ndizo zinazofanya mambo ya dini yaonekane hivyo.
Hivi kujenga nyumba za Ibada za dini zote katika Udom ni dhambi au shida au kero au???, kwa kusudi la watu wamuabudu Mungu. Mahali popote asipotakiwa Mungu basi mahali hapo Shetani atatawala na kutamalaki.
Kuna Uhuru wa kuabudu, hao walobomoa msikiti mungu awalipe hapahapa duniani
Sent using Jamii Forums mobile app