Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,505
- 217,767
Hii ndio taarifa ya usiku huu kutoka Mwanza kwa hisani ya Maranja Masese
Mwendazake mentality
Hujaelewa nini ?Hujaeleweka,jipambanue vizuri tukuelewe
itamtokea puani , Never and Never againMwendazake mentality
Kwani mikutano ya kisiasa imefunguliwa lini?
Muulize Shaka Hamdu anayezunguka huko Rukwa akifanya mikutano ya hadhara na akilindwa na polisiKwani mikutano ya kisiasa imefunguliwa lini?
Ni aibu kubwa sana !Huu ni ushahidi tosha kwamba UDIKTETA bado unaendelea nchini kwa kasi ile ile ya dhalimu mwendazake. Kama RPC kasema uongo Samia akanushe.
Swali lako ni duni , sitajibuNi sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Eyes see only what mind already prepared to.Swali lako ni duni , sitajibu
Jibu tu mkuuSwali lako ni duni , sitajibu
Umesikiliza hotuba za Mwamba ?Naona "Mama" yenu mliyemshangilia na kumvisha taji la ukombozi anawanyuka mijeledi ya mwendazake
Vipi Sukuma gang si limeshaisha na nchi tumeifungua?
Upinzani wa kutegemea mwana CCM (Samia Hassan) atimize matakwa yenu Ni bure kabisa!
Ogopeni mwanamke akikasirika maana muda mwingi anajistukia kudharauliwa, mlikosea kuanza kumpa hongera na sifa lukuki
Hivyo sivyo anavyodai RPCIla mwanza kuna corona serious naomba chadema acheni kufanya mambo ambayo yanafanywa na ccm pls don't
Corona imetoka kumchukua kaka yake na mbowe lakini hamjaridhika tu mnaenda kwenye risk
Mh. Mbowe au?Umesikiliza hotuba za Mwamba ?
Kwa nini unasema anamsingizia Rais?