Unywaji wa pombe una athari mbaya kwenye ubongo, utafiti wabaini

ulevi kupindukia unapelekea kitu tunaita ULAIBU (addicted) mtu akifia hatua hii yaani akiwa na elfu mfukoni, then kichwani minywele mikubwa na kidevu kimechafuka ndevu, basi ile buku 3 ukimwambia achague aende saloon au akanywe bia ...huyo mlevi atachagua BIA ukifia hatua hii ujue kila kitu ktk system ya maisha yako ni KWISHAAAAA
 
Utafiti huo unathibitisha pasina shaka kuwa Biblia ni kitabu cha kweli. Watafiti wanagundua leo madhara ya pombe; yenyewe Biblia ilishaona madhara mengi miaka mingi iliyopita. Look how it says in the Book of Proverbs:
"Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye,Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu? …Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu; mwisho wake huuma kama nyoka.Huchoma kama fira. Macho yako yataona mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka.Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti. Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; wamenipiga wala sina habari…" That was written thousands of years ago!
Misamiati ya nini??
 
ulevi kupindukia unapelekea kitu tunaita ULAIBU (addicted) mtu akifia hatua hii yaani akiwa na elfu mfukoni, then kichwani minywele mikubwa na kidevu kimechafuka ndevu, basi ile buku 3 ukimwambia achague aende saloon au akanywe bia ...huyo mlevi atachagua BIA ukifia hatua hii ujue kila kitu ktk system ya maisha yako ni KWISHAAAAA
Yaani wewe hamnazo kabisa.... preferences...kunyoa ni muhimu kwako....

Ungesema una laki mfukoni...ukaambiwa cement imeisha...na huna akiba ya bia..unachagua kunyoa nywele...mtoto anatakiwa laki shuleni...utachagua kunyoa???

Tafakar tena. Vuzi linaweza kusubiri
 
Yaani wewe hamnazo kabisa.... preferences...kunyoa ni muhimu kwako....

Ungesema una laki mfukoni...ukaambiwa cement imeisha...na huna akiba ya bia..unachagua kunyoa nywele...mtoto anatakiwa laki shuleni...utachagua kunyoa???

Tafakar tena. Vuzi linaweza kusubiri
Kweli kiwango chako cha kuelewa ni kidogo sanaa
Nimekutolea mfano wa kitu kidogo sana thaman ya pesa iliyo mfukoni ni 3000 tsh
Ada utalipaa buku tatu ?
3000 unapata mfuko wa cement ?
Mlevi addicted hanaa mawazo ya kujenga hata siku moja ....
ACHA KUKURUPUKA
 
Nafikiri kuna kiwango ambacho mwili una uwezo wa ku - absolve alcohol -
Kwa mujibu wa utafiti huo wa Oxford kiwango chochote(kikubwa au kidogo) cha pombe kina athari mbaya kwenye ubongo.
 
Utafiti huo unathibitisha pasina shaka kuwa Biblia ni kitabu cha kweli. Watafiti wanagundua leo madhara ya pombe; yenyewe Biblia ilishaona madhara mengi miaka mingi iliyopita. Look how it says in the Book of Proverbs:
"Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye,Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu? …Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu; mwisho wake huuma kama nyoka.Huchoma kama fira. Macho yako yataona mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka.Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti. Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; wamenipiga wala sina habari…" That was written thousands of years ago!
Kwa hiyo wewe umesoma hapo tu Halafu ukaja ku generalize?,Soma na hapa Mhubiri 9:7;Mithali 31:6-7;Ambapo Biblia imeruhusu Kutumia Kileo.
 
Huu utafiti ni uongo mtupu,Kuna njemba nimesoma nayo ilikuwa inabugia pombe balaa lkn darasani alikuwa anafanya vizuri Sana.Alikuwa anatumia pombe km kichocheo cha yeye kusoma,hii unaizungumziaje?.
 
Huu utafiti ni uongo mtupu,Kuna njemba nimesoma nayo ilikuwa inabugia pombe balaa lkn darasani alikuwa anafanya vizuri Sana.Alikuwa anatumia pombe km kichocheo cha yeye kusoma,hii unaizungumziaje?.
Alikuwa anatumia pombe kama kichocheo? Kwahiyo bila pombe mtu hasomi. Hapo si tayari ameishaathirika.
 
Back
Top Bottom