luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,868
ulevi kupindukia unapelekea kitu tunaita ULAIBU (addicted) mtu akifia hatua hii yaani akiwa na elfu mfukoni, then kichwani minywele mikubwa na kidevu kimechafuka ndevu, basi ile buku 3 ukimwambia achague aende saloon au akanywe bia ...huyo mlevi atachagua BIA ukifia hatua hii ujue kila kitu ktk system ya maisha yako ni KWISHAAAAA