Ni tamathali za semi tu hakuna jipya hapo! Unyumba=mbunyeNimejiuliuliza mara nyingi kuhusu suala la unyumba...ni nini maana yake? Eti kaninyima unyumba,ama mpe unyumba. Kwanini watu wasiwe wawazi
salamaaaaa?Ni tamathali za semi tu hakuna jipya hapo! Unyumba=mbunye
Tendo si linafanyika?tena ukizingatia guest ni ndani hahahaha,bora ungesema machakani,,lolVp wanandoa wakienda guest bado ni unyumba, undoa au ugesti?
ulipewa unyumba jana?:yuck:!Ni tamathali za semi tu hakuna jipya hapo! Unyumba=mbunye
Hapo imetumika tafisida. Maana yake ni kitendo cha Mwanamume na Mwanamke walio kwenye ndoa kuingiliana Kingono.Nimejiuliuliza mara nyingi kuhusu suala la unyumba...ni nini maana yake? Eti kaninyima unyumba,ama mpe unyumba. Kwanini watu wasiwe wawazi