Nani mmiliki wa hii radio?
dada mmoja wa kiarusha aliolewa na mzungu na lengo la hiyo redio ilikuwa ni kuajiri walemavu na kuwapatia ajira kwa sababu kuna misaada hii redio inapokea toka nje kwa ajili ya kuwalipa hao walemazi hiyo ilikuwa mwaka 2003 sijui kwa sasa kma imeishabadilisha malengo.