Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Katika Maandiko Matakatifu, UKOMA kama ulivyo UKIMWI ulikuwa ugonjwa wa kuambukiza usio na tiba wagonjwa walitenngwa. Tusome Mambo ya Walawi 13:45-46.
Mtu mwenye ukoma aliye na pigo ndani yake, atavaa nguo zilizoraruka, na nywele timutimu; na ataufunika mdomo wake wa juu na kusema, "Ni najisi, ni najisi" Kwa siku zote ambazo pigo litakuwa ndani yake atakuwa najisi, ataishi kwa upweke katika makazi yake, nje ya kambi.
Mtu mwenye ukoma aliye na pigo ndani yake, atavaa nguo zilizoraruka, na nywele timutimu; na ataufunika mdomo wake wa juu na kusema, "Ni najisi, ni najisi" Kwa siku zote ambazo pigo litakuwa ndani yake atakuwa najisi, ataishi kwa upweke katika makazi yake, nje ya kambi.