PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,073
- 1,847
Habari!!
Mimi ni mhanga wa hili tatizo,sijajua kwa wengine!!Siku hizi waajiri wanawanyanyapaa wafanyakazi kwa kisingizio cha ugumu wa maisha,mtumishi hapewi likizo,kutukanwa nk.Mimi ni mwalimu wa awali,utakuta eti mtoto wa tajiri anaingilia kazi yangu tena atakavy,duh!!
Mimi ni mhanga wa hili tatizo,sijajua kwa wengine!!Siku hizi waajiri wanawanyanyapaa wafanyakazi kwa kisingizio cha ugumu wa maisha,mtumishi hapewi likizo,kutukanwa nk.Mimi ni mwalimu wa awali,utakuta eti mtoto wa tajiri anaingilia kazi yangu tena atakavy,duh!!