Unyama uliofanywa na vyombo vya Ulinzi na Usalama

Yaani wananchi wawapige police mawe halafu police watulie tuu wapigwe. Wananchi walidanganywa wafanye fujo ila walitulizwa ghasia zao



Utii bila shurti ni muhimu sana.


Na wako mitaani wanapiga

 
Kwanini mliwatuma kupiga askari?


Namuona huyu askari mzee aliyepigwa mawe na raia na hapa amechomwa miguu kwa moto
IMG-20201122-WA0037.jpg
 
Kesi ni facts mkuu,na utapata ushindi kama una facts. Hata kama ni baada ya miaka tano!
Mbona kesi zimeshapelekwa huko zinakoshughulikiwa sio kwa hawa wanaofurahia kuwatesa raia

 
Ukiona Askari anaishi maisha magumu Sana baada ya kustaafu usimuonee huruma huyo analipwa matendo yake dhidi ya dhuluma alizofanyia watu alipokuwa kazini
 
Miaka ile ukiwa ughaibuni huoni Aibu kujitambulisha watokea Tanzania ila tuendako tutapigwa muhuri kama Wanigeria na Wasauzi
 
Watupe yanayojiri Mtwara naskia wakorofi wa huko wanabeba silaha tofauti na wakorofi wa Zanzibar kina Haji Ameiri.
 
Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote.
Weka akiba ya maneno ,mwenzako akinyolewa zako tia maji, vitu vingine soma kisha uviache, hapo huwezi jua nani anamakosa ww kaa kimya tu

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Mzee wa historia Bw.Ameir ambae ni miongoni mwa waathirika wa matukio ya uchaguzi wa Oktoba 2020.

Majeraha hayo yametokana na kipigo na mateso aliofanyiwa na vyombo vya ulinzi wanaolipwa kwa kodi ya Wananchi akiwemo Mzee Ameir ambae hajawakosea jambo lolote kachukuliwa kwake wakampeleka wanako kujuwa wao na kumfanyia unyama huo. Mzee Ameir hapungukiwi miaka 80 kwa kukisia.

Allah ndie mlipaji
View attachment 1632457

View attachment 1632458
Leo ACT wazalendo wanataka kuwasaliti wafuasi wao! Mungu anawaona.
 
Kama walitaka kivuruga amani tuingie vitani wanastahili kukunyugwa vilivyo
 
Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote.
KWA maoni yako huyo mzee aliandamna?? Akwilina akifanya kosa gani? Nilipi kosa la Ben Mungu muweza akupe somo hayo makucha ya utawala ya mkute mmoja ya wanafamilia yako Kisha urudi hapa kuandika huu uharo
Watu wamepoteza watoto wake waume Wazaz Kisha waleta ungese hapa
 
Amevuna alichopanda, nani alimwambia afanye fujo, amlaumu aliemwambia akafanye fujo.
Ile risasi iliyotoa roho ya Akwilina alifanya kosa lipi nyinyi ni MADHALIMU hizo damu hamtokua na sabuni za kuzioshea
 
Ile risasi iliyotoa roho ya Akwilina alifanya kosa lipi nyinyi ni MADHALIMU hizo damu hamtokua na sabuni za kuzioshea
Yule mwanafunzi alipatwa na risasi bahati mbaya, ila chanzo ni maandamano ya chadema. Ndo maana wana kesi.
 
Mzee wa historia Bw.Ameir ambae ni miongoni mwa waathirika wa matukio ya uchaguzi wa Oktoba 2020.

Majeraha hayo yametokana na kipigo na mateso aliofanyiwa na vyombo vya ulinzi wanaolipwa kwa kodi ya Wananchi akiwemo Mzee Ameir ambae hajawakosea jambo lolote kachukuliwa kwake wakampeleka wanako kujuwa wao na kumfanyia unyama huo. Mzee Ameir hapungukiwi miaka 80 kwa kukisia.

Allah ndie mlipaji
View attachment 1632457

View attachment 1632458
Utawala katili wa kinyama kama huu unatakiwa kulaaniwa popote duniani
 
Mwalimu nyerere ANGEYAONA HAYA HAKIKA ANGELIA KILIO KIKUU.

NCHI ALIYOIPIGANIA KWA DAMU NA JASHO WAO KWA WAO WAMEANZA KUCHINJANA KAMA WANYAMA.

Jiwe ni Mtusi ndio maana katili watanzania tulizoea kuishi kwa upendo.
Jiwe analipeleka wapi hili Taifa?
Mi simkubali hata kidogo nasikia alikuwa dikteta hivihivi, pia katuachia katiba mbovu sn.
 
Mzee wa historia Bw.Ameir ambae ni miongoni mwa waathirika wa matukio ya uchaguzi wa Oktoba 2020.

Majeraha hayo yametokana na kipigo na mateso aliofanyiwa na vyombo vya ulinzi wanaolipwa kwa kodi ya Wananchi akiwemo Mzee Ameir ambae hajawakosea jambo lolote kachukuliwa kwake wakampeleka wanako kujuwa wao na kumfanyia unyama huo. Mzee Ameir hapungukiwi miaka 80 kwa kukisia.

Allah ndie mlipaji
View attachment 1632457

View attachment 1632458
Pole zake, ajifunze kwa nini akina Zitto na Seif huwa hawaumii
 
Back
Top Bottom