Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Wakuuu Mimi Sitaki upishi usio waushahid, ninataka kufafanua na kutetea hoja Yangu Kama ifuatavyo:
1. Ununuzi wa Ndege ni mojawapo Ya miradi mikubwa Sana tulioambiwa kuwa inasababisa mishahara Ya watumishi isipande na vijana wasiajiriwe tukiambiwa kuwa baada Ya muda miradi hiyo itawezesha faida kubwa na kupelekea watu kunufaika nayo.
Kwa mujibu wa mkaguzi wa hesabu za serikali ni kuwa Ndege hizi zinaendeshwa Kwa hasara, maaana yake nikwamba baada Ya miaka kumi Ndege hizo moja itakuwa imegarimu kiasi cha fedha sawa na garama za kununua Ndege nne.
Wananchi wamekamuliwa Sana kodi toka kila pande Ya nchi Toka Vijijini had mjini, wamejikuta wakiwa mafukara wakubwa kutokana na kodi kuwa nyiiiiingi na matokeo yake hiyo hela inaenda kununua kitu kinachokuja kuendeshwa Kwa hasara, unawaacha wananchi wakiwa hawana nadawa kwenye hospital, zahanati na shule zikiwa hazina walimu, watu hawana Huduma muhimu Kama Maji, vijana hawaajiriwi na mishahara haipandishi.
Katika akili ya kawaida huwezi Chukua hela ndani ukanunua Gari ukawaacha watoto hawana ada za shule kisa unarahisisha usafiri, pia tunafaham fika kuwa hizi Ndege asilimia tisini wanaonufaika nazo ni matajiri na vigogo wa Juu, mwananchi wa kawaida karibu asilimia tisini hata Kuiona hiyo Ndege watazeeka pasipo kuiona na Kwa kuwa inaendeshwa Kwa hasara hela Ya huyo mwananchi itakuwa imepotea.
Lakini Jambo lingne Ndege hizi zilinunuliwa pasipo kufuata taratibu za kisheria, Hakuna mahali palipoidhinishwa na wananchi kupitia waawakilishi wao kununua hizi Ndege, Jambo lingne Ndege hizi zimekuwa zikiharibika Mara Kwa Mara, najua kuwa ukinunua Gari Mpya inapaswa kuchukua muda mrefu Sana kuja kuharibika.
Ninachokiona nikuwa ikitokea Magufuli anashinda Uchaguzi huu, Mwaka 2025 hizi Ndege Nina Uhakika kuwa hazitakuwa agenda ya CCM tena ninamaanisha kuwa zitakuwa zimekufa na tumeingia hasara watakuja na karata nyingne, hiii nikutokana na sasa hivi magufuli kuacha agenda ya viwanda gafla kitu ambacho ilikuwa ni Wimbo wa taifa Kwa Magufuli.
Ilikuwa kumtenganisha Magufuli na Wimbo wa viwanda nikama kumtenganisha samaki kambale na Maji, watanzania ni wepesi wa kusahau mambo, hivi viwanda vya magufuli mnakumbuka huo Wimbo? Viko wapi? Hizo ajira za viwanda ziko wapi?
Wakuu, Kama wewe sio mfia chama shutuka ungana na lisu kuhoji hizi Ndege, nasema kuwa Kama sio mfia chama nikimaanisha kuwa wapo watu wachache ambao wanakula CCM, wanalala CCM, wanaamka CCM, Hawa hata nchi ikafilisika Kabisa wao watakufa na chama maana pasipo CCM watakufa Siku ya kesho yake.
1. Ununuzi wa Ndege ni mojawapo Ya miradi mikubwa Sana tulioambiwa kuwa inasababisa mishahara Ya watumishi isipande na vijana wasiajiriwe tukiambiwa kuwa baada Ya muda miradi hiyo itawezesha faida kubwa na kupelekea watu kunufaika nayo.
Kwa mujibu wa mkaguzi wa hesabu za serikali ni kuwa Ndege hizi zinaendeshwa Kwa hasara, maaana yake nikwamba baada Ya miaka kumi Ndege hizo moja itakuwa imegarimu kiasi cha fedha sawa na garama za kununua Ndege nne.
Wananchi wamekamuliwa Sana kodi toka kila pande Ya nchi Toka Vijijini had mjini, wamejikuta wakiwa mafukara wakubwa kutokana na kodi kuwa nyiiiiingi na matokeo yake hiyo hela inaenda kununua kitu kinachokuja kuendeshwa Kwa hasara, unawaacha wananchi wakiwa hawana nadawa kwenye hospital, zahanati na shule zikiwa hazina walimu, watu hawana Huduma muhimu Kama Maji, vijana hawaajiriwi na mishahara haipandishi.
Katika akili ya kawaida huwezi Chukua hela ndani ukanunua Gari ukawaacha watoto hawana ada za shule kisa unarahisisha usafiri, pia tunafaham fika kuwa hizi Ndege asilimia tisini wanaonufaika nazo ni matajiri na vigogo wa Juu, mwananchi wa kawaida karibu asilimia tisini hata Kuiona hiyo Ndege watazeeka pasipo kuiona na Kwa kuwa inaendeshwa Kwa hasara hela Ya huyo mwananchi itakuwa imepotea.
Lakini Jambo lingne Ndege hizi zilinunuliwa pasipo kufuata taratibu za kisheria, Hakuna mahali palipoidhinishwa na wananchi kupitia waawakilishi wao kununua hizi Ndege, Jambo lingne Ndege hizi zimekuwa zikiharibika Mara Kwa Mara, najua kuwa ukinunua Gari Mpya inapaswa kuchukua muda mrefu Sana kuja kuharibika.
Ninachokiona nikuwa ikitokea Magufuli anashinda Uchaguzi huu, Mwaka 2025 hizi Ndege Nina Uhakika kuwa hazitakuwa agenda ya CCM tena ninamaanisha kuwa zitakuwa zimekufa na tumeingia hasara watakuja na karata nyingne, hiii nikutokana na sasa hivi magufuli kuacha agenda ya viwanda gafla kitu ambacho ilikuwa ni Wimbo wa taifa Kwa Magufuli.
Ilikuwa kumtenganisha Magufuli na Wimbo wa viwanda nikama kumtenganisha samaki kambale na Maji, watanzania ni wepesi wa kusahau mambo, hivi viwanda vya magufuli mnakumbuka huo Wimbo? Viko wapi? Hizo ajira za viwanda ziko wapi?
Wakuu, Kama wewe sio mfia chama shutuka ungana na lisu kuhoji hizi Ndege, nasema kuwa Kama sio mfia chama nikimaanisha kuwa wapo watu wachache ambao wanakula CCM, wanalala CCM, wanaamka CCM, Hawa hata nchi ikafilisika Kabisa wao watakufa na chama maana pasipo CCM watakufa Siku ya kesho yake.