Ununuzi wa gari opa,nadia au spacio

bank

Senior Member
Jan 9, 2011
158
24
USHAURI KUHUSU UNUNUZI WA GARI
Samahani kwa usumbufu wadau.
Naombeni ushauri wenu kuhusu gari kati ya OPA NA NADIA ipi inakula mafuta sana.
Vipi na garama za service.
Nahitaji kununua kati ya OPA,NADIA AU SPACIO Ila nahitaji ambayo haili mafuta sana na ambayo spare zake ni bei rahisi.

asanteni kwa ushirikiano wenu.
 
kwa nini usipitie hapa......japanesevehicles.com......ukaangalia specifications za gari...ili iwe rahisi wewe kuamua.....nadhani kadri engine inavyokuwa kubwa....ndio unywaji wa mafuta unaongezeka
 
Mara nyini opa na nadia zinakula mafuta sana kwani zote huweza fika hadi 2000 displacement wakati spacio unaweza pata hata ya dislacement 1400.ushauri wangu nunua spacio.
 
Gari au usafiri?sjaona gari hapo
<br />
<br />
Mboni una madharau sana we jamaa???? Yani mtu amekusanya pesa zake miaka nenda rudi anataka kununua spacio au opa unamwambia hujaona gari hapo???,,, heri yako wewe mwenye pesa mingi za kununua mavogue na vx,, ila hata kama umeyanunua hayo, usidharau wenzako, sio vyema kua na madharau,,,
 
<br />
<br />
Mboni una madharau sana we jamaa???? Yani mtu amekusanya pesa zake miaka nenda rudi anataka kununua spacio au opa unamwambia hujaona gari hapo???,,, heri yako wewe mwenye pesa mingi za kununua mavogue na vx,, ila hata kama umeyanunua hayo, usidharau wenzako, sio vyema kua na madharau,,,

dharau ni hulka tu mpendwa, saa nyingine huyo anayemdharau mwenzie anayetaka kununua gari, hata baiskeli hana

mimi kwenye magari sio mjanja sana, huwa nanunua tu ninalolipenda so na mimi nasubiri kusikia ushauri wa wengine

mbarikiwe sana
 
USHAURI KUHUSU UNUNUZI WA GARI
Samahani kwa usumbufu wadau.
Naombeni ushauri wenu kuhusu gari kati ya OPA NA NADIA ipi inakula mafuta sana.
Vipi na garama za service.
Nahitaji kununua kati ya OPA,NADIA AU SPACIO Ila nahitaji ambayo haili mafuta sana na ambayo spare zake ni bei rahisi.

asanteni kwa ushirikiano wenu.
Kiukweli OPA zipo za aina mbili yaani 1800cc na 2000cc. Uchaguzi ni wako, lakini OPA ni gari mpya kidogo huku kwetu hivyo spare zitakusumbua kidogo maana spare zetu kibongo bongo ni used aka chinja chinja au new brand ambazo kama una hela ya mawazo ndugu yangu utalia. Angilizo katika OPA nyingi zina engine ya D4, engine hizi kiukweli kwa gari hizo zinaonekana kusumbua sana sijajua shida ni nini hasa lakini ndiyo hivyo. Hivyo ukinunua usinunue engine ya D4 japokuwa ni chache. Mfano wa engine ya D4 angalia hapa http://www.beforward.jp/toyota/opa/bf27518/id/21065/ na isiyo D4 angalia hapa http://www.beforward.jp/toyota/opa/bf23875/id/17413/
Toyota Nadia kimaoni ni sawa na OPA kwani nayo ina engine ya D4 na ukubwa wa engine ni 2000cc nayo ni gari mpya huku kwetu hivyo spare na matengenezo ni lazima itakuwa ipo juu au kwa lugha ya kikaskazini Nairobi lazima itakuhusu.
Toyota Corolla Spacio yenyewe inaitwa engine yake siyo kubwa inarange 1490cc - 1600cc na kidogo ziliwahi kuingia kabla ya OPA na NADIA. Hivyo kwa sababu umesema unataka gari isiyokunywa mafuta mengi basi indirect unaangukia kwenye COROLLA SPACIO. Mwisho yenyewe haina engine ya D4. Check hapa http://www.beforward.jp/toyota/corolla-spacio/bf24850/id/18389/

Nimekuchagulia site hiyo kwa sababu ya picha, ina picha ambazo hutaitaji miwani kuona.
Kila la kheri mkuu katika safari yako ya kumiliki mkoo,
 
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Kiukweli OPA zipo za aina mbili yaani 1800cc na 2000cc. Uchaguzi ni wako, lakini OPA ni gari mpya kidogo huku kwetu hivyo spare zitakusumbua kidogo maana spare zetu kibongo bongo ni used aka chinja chinja au new brand ambazo kama una hela ya mawazo ndugu yangu utalia. Angilizo katika OPA nyingi zina engine ya D4, engine hizi kiukweli kwa gari hizo zinaonekana kusumbua sana sijajua shida ni nini hasa lakini ndiyo hivyo. Hivyo ukinunua usinunue engine ya D4 japokuwa ni chache. Mfano wa engine ya D4 angalia hapa <a href="http://www.beforward.jp/toyota/opa/bf27518/id/21065/" target="_blank">http://www.beforward.jp/toyota/opa/bf27518/id/21065/</a> na isiyo D4 angalia hapa <a href="http://www.beforward.jp/toyota/opa/bf23875/id/17413/" target="_blank">http://www.beforward.jp/toyota/opa/bf23875/id/17413/</a></span></font><br />
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms"> Toyota Nadia kimaoni ni sawa na OPA kwani nayo ina engine ya D4 na ukubwa wa engine ni 2000cc nayo ni gari mpya huku kwetu hivyo spare na matengenezo ni lazima itakuwa ipo juu au kwa lugha ya kikaskazini Nairobi lazima itakuhusu.<br />
Toyota Corolla Spacio yenyewe inaitwa engine yake siyo kubwa inarange 1490cc - 1600cc na kidogo ziliwahi kuingia kabla ya OPA na NADIA. Hivyo kwa sababu umesema unataka gari isiyokunywa mafuta mengi basi indirect unaangukia kwenye COROLLA SPACIO. Mwisho yenyewe haina engine ya D4. Check hapa <a href="http://www.beforward.jp/toyota/corolla-spacio/bf24850/id/18389/" target="_blank">http://www.beforward.jp/toyota/corolla-spacio/bf24850/id/18389/</a></span></font><br />
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Nimekuchagulia site hiyo kwa sababu ya picha, ina picha ambazo hutaitaji miwani kuona.</span></font><br />
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms"> Kila la kheri mkuu katika safari yako ya kumiliki mkoo, </span></font>
<br />
<br /> mkuu mbona umemwambia indirect?? anaangukia kwenye spacio Badala ya direct anaangukia kwenye spacio
 
Wakuu wote nashukuru kwa maoni yenu.Yamenisaidia sana maana nilikuwa sijui kama D4 Inasumbua Special thanks to MZEE WA RULA.

Kitu kingine Befoward nimeona ndio wana bei nzuri na aina nyingi za uchaguzi ila uhakika na usalama wa hela sijajua maana hawana ofisi Tanzania.
Hapa unamtumia mtu hela ambaye humuoni na huna uhakika kama mzigo utapata au vipi
Mwenye uzoefu na hawa watu anaweza kuchangia.
 
wakuu wote nashukuru kwa maoni yenu.yamenisaidia sana maana nilikuwa sijui kama d4 inasumbua special thanks to mzee wa rula.

kitu kingine befoward nimeona ndio wana bei nzuri na aina nyingi za uchaguzi ila uhakika na usalama wa hela sijajua maana hawana ofisi tanzania.
Hapa unamtumia mtu hela ambaye humuoni na huna uhakika kama mzigo utapata au vipi
mwenye uzoefu na hawa watu anaweza kuchangia.
befoward jp nawaaminia nimekwisha fanyanao biashara bei zao pia ni nzuri tatizo gari huchelewa kukufikia
 
Back
Top Bottom