Atumbukize kwenye maji
Kuna jamaa yangu kanipigia simu kuwa amesahau password yake hivyo hawezi kuaccess laptop yake.
Sikuwa na jibu hivyo wadau nawaombeni msaada ili nimsaidie jamaa yangu.
Kuna jamaa yangu kanipigia simu kuwa amesahau password yake hivyo hawezi kuaccess laptop yake.
Sikuwa na jibu hivyo wadau nawaombeni msaada ili nimsaidie jamaa yangu.
Atumbukize kwenye maji
Kuna jamaa yangu kanipigia simu kuwa amesahau password yake hivyo hawezi kuaccess laptop yake.
Sikuwa na jibu hivyo wadau nawaombeni msaada ili nimsaidie jamaa yangu.
Kuna jamaa yangu kanipigia simu kuwa amesahau password yake hivyo hawezi kuaccess laptop yake.
Sikuwa na jibu hivyo wadau nawaombeni msaada ili nimsaidie jamaa yangu.
Mbona hujatuambia Laptop model ipi? Mwambie apeleke kwa Fundi wa Laptop kisha aifunguwe kwa ndani kuna mahali hiyo laptop kuna betri ya hiyo laptop aitowe kwenye hiyo laptop kwa muda wa dakika kumi kisha airudishe hiyo betri tena kwenye hiyo laptop itafuta hiyo password.
Mkuu kutoa betry kwenye laptop si ageuze laptop chali achomoe betry. Same thing utafanya kama unataka kudefault to pre-installed programs/state kumbuka data na programs ulizoweka mwenyewe zitalambwa.
Mbona hujatuambia Laptop model ipi? Mwambie apeleke kwa Fundi wa Laptop kisha aifunguwe kwa ndani kuna mahali hiyo laptop kuna betri ya hiyo laptop aitowe kwenye hiyo laptop kwa muda wa dakika kumi kisha airudishe hiyo betri tena kwenye hiyo laptop itafuta hiyo password.
Mkuu kutoa betry kwenye laptop si ageuze laptop chali achomoe betry. Same thing utafanya kama unataka kudefault to pre-installed programs/state kumbuka data na programs ulizoweka mwenyewe zitalambwa.
Mkuu samahani nimekusudia Bios Betry
By sajee_bling on Aug 12, 2008
i have Hp Pavilion dv9000 i forgot the bios password now i cant go into the system how do i reset my password?
remove the bios battery from the laptop for about 30 minutes, when you put it back, you will not have the password anymore for bios, reset...
it can be upright or flat out, just check your and remove it.
Was this helpful? Yes
No