Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa ukiambiwa haina ishu,ndo utaamua kuacha chuo au?****BACHELOR OF COMMERCE IN ACCOUNTING ***** wakuuuu hii course ipoje na upatikanaji wake wa ajirw ukoje wakuuu?????
Vijana wote watarajiwa wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2019/2020 karibuni sana UDSM, Nitakuwepo wiki zile mbili za Orientation, unaweza kunicheki ukitaka kupafahamu hapa vizuri!
Hongereni na Karibuni sana UDSM!
Khan!
Tayari mkuu ili uyaone fungua account yako ya application utaona link imeandikwa selection results fungua hapo utaona admission letter na docs nyingine muhimuMimi nimefanya application ya masters UD 2019/2020...naomba kuunifahamishe kama matokeo yake yameshatoka
YahHivi dirisha la maombi bado lipo wazi?
Mimi nimefanya application ya masters UD 2019/2020...naomba kuunifahamishe kama matokeo yake yameshatoka
Kwa nini?Chuo cha mapopoma
Siku ya kwanza tu ukiripoti chuoni achana kabisa na huu uandishi wa "kubadilixha koz". Utafukuzwa chuowadau ivi kuna uwezekano wowote wa kubadilixha koz(bachelor)kutoka koz moja kwenda nyingne
Dirisha la application ya masters liko wazi paka lini..?Kwa master
Ningependa kufahamu ada zake pia..Dirisha la application ya masters liko wazi paka lini..?
Na je kuna Masters ya Procurement