Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,246
- 34,196
Jaman achen kusoma kozi ili kupata sifa. Sasa umesoma petrolium alafu ukafanye wapi kazi? Kwa uhaba huu wa ajira utajiajiri vipi??Mlio chaguliwa kozi tajwa hapo juuu, mjitathimini vizuri kabla ya kuanza kuzisoma. Nawatakia shule njema.