Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Mengi uliyo andika hapa ,sidhani km umerudia kusoma vyema haya msaada ktk kujenga wala kutetea hoja.Na yote hayashirikiani hata.Zaidi mnazidi tuu kuthibitisha jinsi UDSM hamjaaandaliwa hata kulinda fikra zenu achilia mbali taifa.Ndio maana hamuwezi soma hata mikataba .Mmepandikizwa ujinga wa ujamaa kichwani .Defense zenu za kijinga pale walio tofauti nanyi wanavyothibitisha kuwa nyie ni vilaza na wafuasi wa philosophy za kishetani ni hizi:Mnaonewa wivu,sijui wamekosa,sijui ni wajinga,sijui hawana akili.....KUKUWEKA ZAIDI SAWA...NADHANI UNAWEZA KUMBUKA MAFISADI WANAVYOJITETEA KWA STYLE YENU...ETI WANAOPIGA KELELE NI WALE WALIOKOSA MGAO.KM MNAVYOSEMA WENGINE TUMEKOSA NAFSI UDSM.Hamna hata uwezo wa kujua point of discussion.Kama mawazo yenyewe ndiyo kama hayo;nasikitika kusema unadhalilisha chama kwa kuweka hiyo Avatar.Tumia akili ya kuzaliwa kujenga hoja hata kama shule haujaenda. Mawazo kama hayao ndiyo yaliyoifikisha CCM hapo ilipo sasa kama na ninyi mnataka kutumia mbinu hiyo hiyo kuleta mageuzi basi tutasubiri sana.