Mbona kinyemela jama..!? Tustuane basi, ni juu ya nn?
Title na mjadala havieleweki, toa hoja unayotaka kuongelea
Nadhani alikuwa anauliza wanafamilia kama wanataarifa yoyote inayohusu kuitwa watu walioomba kazi chuo kikuu cha Bagamoyo kwa ajili ya interview.
Title na mjadala havieleweki, toa hoja unayotaka kuongelea
Wakuu vp kushalipuka huko au bado, 2peane taarifa.
2peane=?.
Upuuzi mtupu!