undergraduate mpaka oktoba 2 hii ni kwa mujibu wa TCU.Oi nasikia UDOM wameshatoa majina ya undergraduate ni kweli??
Ardhi tayari kwan???aliyechagua Ardhi, naomba untafute plz!
Attachment,....Wa saut mwanza tayari log in utakuta ujumbe wameweka
Ardhi Tabora na kozi zipi unazungumzia mkuu..?aliyechagua Ardhi, naomba untafute plz!
Mkuu natumia sim ndogo siwez piga screen shoot ila nimeproveAttachment,....
Boom ni lazima chuo hakiendi bila boom
Hapa inabidi kufahamu mana unaweza kaa unasubir kumbe wanajibu kupitia profile accountsmajna tutaangalia kwny web ya university au watatutumia kwny e-mail
Huyu vip certificate anahusikaje sasa humuAcha Kuwa Akili Ndogo
Huu Uzi Ni Kwa Wote Certificate, Diploma, Degree, Masters Etc.
Najua Akili Yako Iliwaza Ni Majina
Ya First Year.
Mwambie mkuuukwani hao wenye red na wenyewe wanasubiri kwenda UNIVESITY
lakini mara zote pia majina huwekwa kwenye website ya vyuo husika. cha msingi ni kukumbuka namba yako ya kidato cha nne ili kurahisisha urahisi wa kuona jina lako kama lipo.Hapa inabidi kufahamu mana unaweza kaa unasubir kumbe wanajibu kupitia profile accounts
sawa ngoja tusubiri hiyo tarehe 2,lakini mara zote pia majina huwekwa kwenye website ya vyuo husika. cha msingi ni kukumbuka namba yako ya kidato cha nne ili kurahisisha urahisi wa kuona jina lako kama lipo.
VYUO GAN??????????
Subiri Lissu Atembee KwanzaVYUO GAN??????????
Hamna Kitu Kama Hicho.sawa ngoja tusubiri hiyo tarehe 2,
Kwani itakua lini saHamna Kitu Kama Hicho.
Ngoja tuone..ila bado siku chache tu..kufikia hiyo trh 2Kabla ya Tarehe 2 October.
Mark My Words.