Jiwe kuu01
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 228
- 86
Hii ndiyo Tanzania yetu bhnWamefanya makosa makubwa sana na uenda vikafutwa kabisaaa
Hii ndiyo Tanzania yetu bhnWamefanya makosa makubwa sana na uenda vikafutwa kabisaaa
Kuna wakati mwanzoni kabla ya majibu ya round ya kwanza, niliwahi muambia rafiki yangu kuwa mwaka huu watu wengi waliomba UDSM, MUHAS, MZUMBE, UDOM, SUA na IFM hivyo kuviacha vyuo vingine kama SAUT,USHIRIKA, MUM nk.Hii ndiyo Tanzania yetu bhn
Kuwa mvumilivu Mkuu hadi tarehe 29/10/2020.IFM vipi wakuu
Daaah! Inabodi tusublKuwa mvumilivu Mkuu hadi tarehe 29/10/2020.
afwathalii wachambuee vizurr aseeehKuwa mvumilivu Mkuu hadi tarehe 29/10/2020.
Yeah! Subilia mambo yatakuwa vizuri zaidi.Daaah! Inabodi tusubl
Sawa sawa Mkuuafwathalii wachambuee vizurr aseeeh
Uchaguzi mdogo wangu.! Vijana wakichinjwa kipindi hiki lawama zitakuwa nyingi..!afwathalii wachambuee vizurr aseeeh
kudadeki tena hiyo unalala nae.St.Fransis wameshalamba 20k yangu bure bure bora ningeenda kununulia malaya
Sasa kcmc wanalamba elfu 50. Sijui mamlaka zinakwama wapii haya majitu yanawaibia watanzaniaSt.Fransis wameshalamba 20k yangu bure bure bora ningeenda kununulia malaya
Majina ya second selection so wakisema wanaanza leo? Vipi una detail Kama wameshaanza kutoa majina au la?Kuna wakati mwanzoni kabla ya majibu ya round ya kwanza, niliwahi muambia rafiki yangu kuwa mwaka huu watu wengi waliomba UDSM, MUHAS, MZUMBE, UDOM, SUA na IFM hivyo kuviacha vyuo vingine kama SAUT,USHIRIKA, MUM nk.
Madhara niliyomueleza ni kuwa uwezekano wa kutemwa wanafunzi wengi ni mkubwa sana kwa awamu ya kwanza, na hii itapelekea awamu ya pili kuwa na mchakato mrefu sana kwani wanafunzi wengi walikosa nafasi.
Zaidi wawe na uvumilivu kwa wale wanaosubilia awamu ya pili.
Kuhusu walioanza kutoa majina sio mbaya kwani haina madhara yoyote.
Majina ya second selection so wakisema wanaanza leo? Vipi una detail Kama wameshaanza kutoa majina au la?
bongo Bwana,nilikuwa namchekia hapa dogo ana anapresha Hadi ananinunia.Ad tareh 29 tena mzee
et anakununiabongo Bwana,nilikuwa namchekia hapa dogo ana anapresha Hadi ananinunia.
Pole kwake, maumivu ni makubwa tusubili selection kwa awamu ya pili, ukizingatia kalenda ya TCU haionyeshi kama kutakuwepo awamu ya tatu. Mungu amtanguliebongo Bwana,nilikuwa namchekia hapa dogo ana anapresha Hadi ananinunia.
ilaaa n kwel kwann waweke cku baada ya uchaguziii.....ova thinkng inahtajika aapa...afu na vile wanavosistza et hakuna atakae kosa chuoo sidhan ngja tuonee....ila na beti baada ya uchaguzi tutaona madudu mengiiii aseeeUchaguzi mdogo wangu.! Vijana wakichinjwa kipindi hiki lawama zitakuwa nyingi..!
Tusubiri jambo kubwa la kitaifa lipite kwanza ili maamuzi yafanyike.