University Admission Results 2020

ETI WAJUBA KUNA MTU MWINGINE KACHAGULIWA CHUO KWA HILI DIRISHA LA PILI...?
MAANA KUNA MTU KANAMBIA YE KACHAGULIWA CHUO KUPITIA DIRISHA HILI INGAWA BADO HALIJAFUNGWA.

KAMA KUNA MTU MWINGINE/WENGINE WAMECHAGULIWA NAOMBA TUJUZANE ASEEH NA TUENDELEE KUPEANA UPDATES KWA KILA CHUO
 
ETI WAJUBA KUNA MTU MWINGINE KACHAGULIWA CHUO KWA HILI DIRISHA LA PILI...?
MAANA KUNA MTU KANAMBIA YE KACHAGULIWA CHUO KUPITIA DIRISHA HILI INGAWA BADO HALIJAFUNGWA.

KAMA KUNA MTU MWINGINE/WENGINE WAMECHAGULIWA NAOMBA TUJUZANE ASEEH NA TUENDELEE KUPEANA UPDATES KWA KILA CHUO
Kuchaguliwa!!

Chuo gani mkuu!!

Heb tuelekeze vzr Imekuaje kuaje
 
ETI WAJUBA KUNA MTU MWINGINE KACHAGULIWA CHUO KWA HILI DIRISHA LA PILI...?
MAANA KUNA MTU KANAMBIA YE KACHAGULIWA CHUO KUPITIA DIRISHA HILI INGAWA BADO HALIJAFUNGWA.

KAMA KUNA MTU MWINGINE/WENGINE WAMECHAGULIWA NAOMBA TUJUZANE ASEEH NA TUENDELEE KUPEANA UPDATES KWA KILA CHUO
Hapo admin wao atakuwa amevujisha mze au system tu imeyumba
Lakini habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema had tar 26 tokeo litakuwa wazi.
Wacha tusubiri tuone this week inakuwaje
 
ETI WAJUBA KUNA MTU MWINGINE KACHAGULIWA CHUO KWA HILI DIRISHA LA PILI...?
MAANA KUNA MTU KANAMBIA YE KACHAGULIWA CHUO KUPITIA DIRISHA HILI INGAWA BADO HALIJAFUNGWA.

KAMA KUNA MTU MWINGINE/WENGINE WAMECHAGULIWA NAOMBA TUJUZANE ASEEH NA TUENDELEE KUPEANA UPDATES KWA KILA CHUO
Inawezekana..kuna mwanangu mmoja hivi alichaguliwa dirisha la kwanza hata kabla halijafungwa...yaani kabla hawajafunga yeye kishachaguliwa palee CBE...na mpaka sasaivi ana Admission letter kila kitu fresh kabisa.. Na kuna mwengine alichaguliwa st john mapema tu ..sasa sijui inakuaje
 
Inawezekana..kuna mwanangu mmoja hivi alichaguliwa dirisha la kwanza hata kabla halijafungwa...yaani kabla hawajafunga yeye kishachaguliwa palee CBE...na mpaka sasaivi ana Admission letter kila kitu fresh kabisa.. Na kuna mwengine alichaguliwa st john mapema tu ..sasa sijui inakuaje
Yah kwer st john ni mapema tu walichagua ata admission
 
Inawezekana..kuna mwanangu mmoja hivi alichaguliwa dirisha la kwanza hata kabla halijafungwa...yaani kabla hawajafunga yeye kishachaguliwa palee CBE...na mpaka sasaivi ana Admission letter kila kitu fresh kabisa.. Na kuna mwengine alichaguliwa st john mapema tu ..sasa sijui inakuaje
Naye kanambia ni CBE - DSM
 
kwnn mkuu
Niliangaika sana ku reapply baada ya kunitosa 1st selection ambapo kwa mujibu wa maelezo yao ili kureapply ni lazima uwatafute kwa njia ya simu. Niliangaika karibia siku tatu ukiwapigia hawapatikani na wakipatikana wanatumika all the time, kuna muda nashukuru mungu nikawapata hewani nikawaeleza wakaniambia niwaachie form four index number na namba ya mawasiliano wakasema watanitumia link hapa ilikuwa tar 15, nikaendelea kusubiria tarehe 16 hola 17 nikaamua kuwatafuta the same hawapatikani wanatumika all the time. Jana ndo ilikuwa siku ya mwisho napo ni wikiendi so hawalupatikana kabisa now dirisha lishafungwa.
 
Niliangaika sana ku reapply baada ya kunitosa 1st selection ambapo kwa mujibu wa maelezo yao ili kureapply ni lazima uwatafute kwa njia ya simu. Niliangaika karibia siku tatu ukiwapigia hawapatikani na wakipatikana wanatumika all the time, kuna muda nashukuru mungu nikawapata hewani nikawaeleza wakaniambia niwaachie form four index number na namba ya mawasiliano wakasema watanitumia link hapa ilikuwa tar 15, nikaendelea kusubiria tarehe 16 hola 17 nikaamua kuwatafuta the same hawapatikani wanatumika all the time. Jana ndo ilikuwa siku ya mwisho napo ni wikiendi so hawalupatikana kabisa now dirisha lishafungwa.
aisee, pole sana mkuu. Hivi vitu vinaumiza sana kichwa.
Ila pia nadhan huku apply hapo tu. Mungu ni mwema utapata kwengine.
 
Niliangaika sana ku reapply baada ya kunitosa 1st selection ambapo kwa mujibu wa maelezo yao ili kureapply ni lazima uwatafute kwa njia ya simu. Niliangaika karibia siku tatu ukiwapigia hawapatikani na wakipatikana wanatumika all the time, kuna muda nashukuru mungu nikawapata hewani nikawaeleza wakaniambia niwaachie form four index number na namba ya mawasiliano wakasema watanitumia link hapa ilikuwa tar 15, nikaendelea kusubiria tarehe 16 hola 17 nikaamua kuwatafuta the same hawapatikani wanatumika all the time. Jana ndo ilikuwa siku ya mwisho napo ni wikiendi so hawalupatikana kabisa now dirisha lishafungwa.

Kwenye account yako hamna sehemu yaku reapply???? Hadi uwapigie simu
 
Niliangaika sana ku reapply baada ya kunitosa 1st selection ambapo kwa mujibu wa maelezo yao ili kureapply ni lazima uwatafute kwa njia ya simu. Niliangaika karibia siku tatu ukiwapigia hawapatikani na wakipatikana wanatumika all the time, kuna muda nashukuru mungu nikawapata hewani nikawaeleza wakaniambia niwaachie form four index number na namba ya mawasiliano wakasema watanitumia link hapa ilikuwa tar 15, nikaendelea kusubiria tarehe 16 hola 17 nikaamua kuwatafuta the same hawapatikani wanatumika all the time. Jana ndo ilikuwa siku ya mwisho napo ni wikiendi so hawalupatikana kabisa now dirisha lishafungwa.
Si ungeomba kwingine mkuuu..ungetoa hela ungeomba hata CBE pale..wenzako walioomba wanapata chap...yaani mtu ameomba leo kesho kutwa amechaguliwa tayar kabla dirisha halijafungwa
 
Si ungeomba kwingine mkuuu..ungetoa hela ungeomba hata CBE pale..wenzako walioomba wanapata chap...yaani mtu ameomba leo kesho kutwa amechaguliwa tayar kabla dirisha halijafungwa
pale chap tu. Kama hajaomba bado, atumie ujanja, ajaribu kwenda dirrect chuoni kuomba ku apply manually...
 
Back
Top Bottom