United States of America ni Idea bora zaidi ya kisiasa kuwahi kutokea duniani

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,581
46,176
July 4 1776 George Washington aliyaongoza makoloni 13 yaliyokuwa chini ya utawala wa ufalme wa Uingereza kujitangazia uhuru wake na baadaye kutengeneza serikali ya shirikisho iliyodumu kwa zaidi ya miaka 230 bila ya kuruhusu kiongozi wake yeyote kuweza kujitwalia mamlaka na kuwa dikteta.

Ndilo taifa lenye nguvu zaidi duniani lilo na Rais mwenye nguvu kidogo sana katika kuamua uhuru wa raia wake na asiyeweza kuingilia maisha ya raia wake yeyote kirahisi. Ndilo dola lenye nguvu zaidi lakini lisilotisha raia wake.

Waliobuni na kuanzisha serikali ya shirikisho ya Marekani na katiba yake ni majiniasi wa kisiasa kuwahi kutokea duniani baada ya wale wa kigiriki walioipa dunia idea ya demokrasia.

United states is both a nation and an Idea.
 
And it is sinking right now...
Bado Sana kufika huko, kama haikuzama wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe, vita kuu mbili za dunia, mdodoro mbaya wa kiuchumi, Vuguvugu la kina Martin Luther, vita ya Vietnam, Vita baridi, vita dhidi ya ugaidi kama hayo hayakuizamisha Marekani sidhani kama itazama wakati huu.

kumbuka maandamano kama haya sio ya kwanza kutokea Marekani na huenda yasiwe ya mwisho.

USA 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 taifa kubwa.
 
Mada za kusifia mfumo wakati hizi fujo zinaonesha watu wamekosa haki na wanaishi umasikini wa kutupa.
 
July 4 1776 George Washington aliyaongoza makoloni 13 yaliyokuwa chini ya utawala wa ufalme wa Uingereza kujitangazia uhuru wake na baadaye kutengeneza serikali ya shirikisho iliyodumu kwa zaidi ya miaka 230 bila ya kuruhusu kiongozi wake yeyote kuweza kujitwalia mamlaka na kuwa dikteta.

Ndilo taifa lenye nguvu zaidi duniani lilo na Rais mwenye nguvu kidogo sana katika kuamua uhuru wa raia wake na asiyeweza kuingilia maisha ya raia wake yeyote kirahisi. Ndilo dola lenye nguvu zaidi lakini lisilotisha raia wake.

Waliobuni na kuanzisha serikali ya shirikisho ya Marekani na katiba yake ni majiniasi wa kisiasa kuwahi kutokea duniani baada ya wale wa kigiriki walioipa dunia idea ya demokrasia.

United states is both a nation and an Idea.
Kiufupi ma GENIOUS wote wa ulaya ndio wamelifanya hilo taifa kuwa kama lilivyo. Kwa wale
Mnaosoma historia ya dunia hususan ya Marekani na ulaya utakubaliana na mleta mada .
 
Bado Sana kufika huko, kama haikuzama wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe, vita kuu mbili za dunia, mdodoro mbaya wa kiuchumi, Vuguvugu la kina Martin Luther, vita ya Vietnam, Vita baridi, vita dhidi ya ugaidi kama hayo hayakuizamisha Marekani sidhani kama itazama wakati huu.

kumbuka maandamano kama haya sio ya kwanza kutokea Marekani na huenda yasiwe ya mwisho.

USA taifa kubwa.
Kiufupi yani nchi zote duniani ziseme zinaungana ukawa yao kumdondosha mmarekani,, sio kirahisi
Na hili taifa ukilisoma kwa undani lina strategic plan za muda mrefu sana
 
Ndio uzuri wa demokrasia, kuna kujifunza na kurekebisha mambo.
It is sinking? US ashapitia changamoto nyingi kubwa na akazifaulu. Nchi haijatangaza hata state of emergency kwa sasa.
 
USA ni copy& paste ya Holy Roman Empire, wamekopi kila kitu hata eagle symbol ya USA ni ya Holy Roman Empire, Federalism ya USA ilikopiwa kutoka Holy Roman Empire, hakuna kipya Dunia hii!

USA symbol na Holy Roman Empire Eagle!
1648301425442.jpeg




1648301624095.png
 
July 4 1776 George Washington aliyaongoza makoloni 13 yaliyokuwa chini ya utawala wa ufalme wa Uingereza kujitangazia uhuru wake na baadaye kutengeneza serikali ya shirikisho iliyodumu kwa zaidi ya miaka 230 bila ya kuruhusu kiongozi wake yeyote kuweza kujitwalia mamlaka na kuwa dikteta.

Ndilo taifa lenye nguvu zaidi duniani lilo na Rais mwenye nguvu kidogo sana katika kuamua uhuru wa raia wake na asiyeweza kuingilia maisha ya raia wake yeyote kirahisi. Ndilo dola lenye nguvu zaidi lakini lisilotisha raia wake.

Waliobuni na kuanzisha serikali ya shirikisho ya Marekani na katiba yake ni majiniasi wa kisiasa kuwahi kutokea duniani baada ya wale wa kigiriki walioipa dunia idea ya demokrasia.

United states is both a nation and an Idea.

Vip kuhusu Edward snowden hakuwa raia wa marekani
 
Back
Top Bottom