Naomba msaada kuhusu UTT (UMOJA FUND)

Kaka Kapo

JF-Expert Member
Nov 23, 2012
535
329
Ndugu wanajamvi naomben msaada wa maelezo kuhusiana na UTT

Nilinunuaga units 100 mwaka 2005 walipokuwa wanazitangaza by then I was a student in kilimanjaro nikasuggest badala ya Kuwa napewa pesa wakati wa kugawana faida pesa yangu iwe inatumika kununua units!

From then till now sikuweza kupata information zozote kuhusiana na hii kitu! Mwakajana mwezi 12 nikapokea text Kuwa inabidi niwe moshi kunakikao cha wanachama I couldn't go coz was sick by then!

Sasa now am in dar es salaam nipo ninakijiajira kinachonipa elfu mbili za msosi nataka nijinyime niwekeze kwa hii kitu au ingine yoyote ya aina hii kwa ajili ya maisha yangi ya badae!

Swali langu je naanzia wapi kujua nini status yangu huko UTT na kama kuna mwanajamvi yeyote ambaye pia ni mwanaUTT na aliatend hicho kikao cha mwaka Jana Dec unaweza kunijulisha nifanye nn nipate kujua nna hisa kiasi gani mpaka leo! ntashukushukuiru sana ww utakaye changia kunipa ufahamu zaidi

Naomba radhi kwa post ndefu...
 
Ndugu wanajamvi naomben msaada wa maelezo kuhusiana na UTT nilinunuaga units 100 mwaka 2005 walipokuwa wanazitangaza by then I was a student in kilimanjaro nikasuggest badala ya Kuwa napewa pesa wakati wa kugawana faida pesa yangu iwe inatumika kununua units! From then till now sikuweza kupata information zozote kuhusiana na hii kitu! Mwakajana mwezi 12 nikapokea text Kuwa inabidi niwe moshi kunakikao cha wanachama I couldn't go coz was sick by then! Sasa now am in dar es salaam nipo ninakijiajira kinachonipa elfu mbili za msosi nataka nijinyime niwekeze kwa hii kitu au ingine yoyote ya aina hii kwa ajili ya maisha yangi ya badae! Swali langu je naanzia wapi kujua nini status yangu huko UTT na kama kuna mwanajamvi yeyote ambaye pia ni mwanaUTT na aliatend hicho kikao cha mwaka Jana Dec unaweza kunijulisha nifanye nn nipate kujua nna hisa kiasi gani mpaka leo! ntashukushukuiru sana ww utakaye changia kunipa ufahamu zaidi
Naomba radhi kwa post ndefu...

mimi ni mdau ninazo hzo nenda sukari house posta uliza jengo la sukarihouse then ukifika nadhan gorofa ya pili au utamuuliza mlinzi mwambie nafika umoja fund atakuelekeza kama una karatas yoyote uliyotumiwa nendanayo au nenda na kitambulisho chenyepicha halaf watajie jina lako watakupa statement ya vipandevyako na kila kitu utauliza hapo sasahv vimepanda ni 255 kutokea kipande sh 70.
 
mimi ni mdau ninazo hzo nenda sukari house posta uliza jengo la sukarihouse then ukifika nadhan gorofa ya pili au utamuuliza mlinzi mwambie nafika umoja fund atakuelekeza kama una karatas yoyote uliyotumiwa nendanayo au nenda na kitambulisho chenyepicha halaf watajie jina lako watakupa statement ya vipandevyako na kila kitu utauliza hapo sasahv vimepanda ni 255 kutokea kipande sh 70.

Wabheja sana ngalu! Ntafanya hivyo j3 mheshimiwa!
 
Mimi nimeweka huko pesa yangu. Imekuwa vizuri sana, kwa sasa ni 479 siku ya ijumaa . Ulifanya uamuzi mzuri. Wekeza zaidi mkuu. Vipande vinafanya vizuri sana kwa sasa.
 
Habari za jioni ndugu, samahani naomba mnisaide gharama za vipande kwa sasa ni shilingi ngapi kwa kipande kimoja, na pia nipo Arusha je wapi kwa hapa Arusha naweza kwenda kununua hivyo vipande. Asanteni
 
Back
Top Bottom