Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hahahaha bahati mbaya hata mimi siwajui mjukuu mpenzi. Lakini nilikuwa nimeshazaliwa naamini😂😂😂 kwani ni mwaka gani walikuwa wanahit mai dia babu?
Hahahaha bahati mbaya hata mimi siwajui mjukuu mpenzi. Lakini nilikuwa nimeshazaliwa naamini😂😂😂 kwani ni mwaka gani walikuwa wanahit mai dia babu?
We najua mziki sio mambo yako,unapenda vitu vingine vingine tu. Hata mie lazima nilikua nimezaliwa hapoHahahaha bahati mbaya hata mimi siwajui mjukuu mpenzi. Lakini nilikuwa nimeshazaliwa naamini
Hebu njoo nikukague
Ewaaa niache kugonga K Vant na papuchi eti niko bize nafuatilia Unique Sisters. Unique Sisters naowajua mimi ni hawa mabinti zangu sita japo kila mmoja ana mama yake. Potelea mbaliWe najua mziki sio mambo yako,unapenda vitu vingine vingine tu
Hata mie lazima nilikua nimezaliwa hapo
Nipatie hilo Pini Mkuu nalitafuta sana bila mafanikio...Ilo Pini alichana na Hashim Dogo.
Bounce Usiku bado Mchanga mbalamwezi inawaka Bounce....Alichana na MAC D.
wimbo mzuri yaani enzi hizo za miziki motomoto ya channel ten akina macklin mdoe, salma msangi na scoUnique Sisters - Zaidi yako
Moja kati ya wimbo ninaoukubali sana mpaka kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Nick Ngonyana ,Raph B Sijaona.wimbo mzuri yaani enzi hizo za miziki motomoto ya channel ten akina macklin mdoe, salma msangi na sco
duuuh kweli ulikua makiniNick Ngonyana ,Raph B Sijaona.
Hahaha ni mfuatiliaji sana wa muziki mkuu.duuuh kweli ulikua makini
nakubaliHahaha ni mfuatiliaji sana wa muziki mkuu.
Daah mkuu umenikumbusha mkali MAC DKWA SABABU GANI
KUPENDWA NA WEWE
WANGU MPENZI
WALIKUWA WANAPENDA SANA KUIMBA NA MAC D
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambo sana hawa madada.
Kuna wimbo wao unaitwa 'sikutaka' ni mmoja kati wimbo mzuri sana wa zama hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwanamke ananipa kiwewe/ yaani mchana akikosa usiku najihukumu mwenyewe/ sumu asipewe na mwanaume mwingine anatema/ kwa kweli naona ni vyema kuweka nanga mapema
Zaidi yako kwangu ndio kiboko yao