UNIQ ACADEMY

zigi 01

JF-Expert Member
Oct 22, 2017
294
153
naomba msaada anaekijua hiki chuo! wanafundisha computer course! ubora wake na Ada yake
 
Chuo kipo vizuri sana wanasoma watoto wa kihindi na waswahili wachache wanaojiweza
Jiandae kwa ada si chini ya M1.5
 
kati ya hizo course ipi ni nzuri zaidi mkuu
Screenshot_20181012-170957.jpg
 
Chuo kizuri lakini hakijitangazi sana, na hata fomu zake hazigaiwi kama njugu.
Ada ni 2.3M kwa degree.
 
Kwa semester 1 unalipa 1150000, halafu ada ni kubwa kutokana na idadi ya wanafunzi ni ndogo haizidi 40 kwa darasa, na pia elimu yao ni nzuri na bora!
 
Kwa semester 1 unalipa 1150000, halafu ada ni kubwa kutokana na idadi ya wanafunzi ni ndogo haizidi 40 kwa darasa, na pia elimu yao ni nzuri na bora!
kwa mwaka sasa ni sh ngapi? kwa level ya bachelor sasa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom