pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Tatizo sio kuwa sikweli tatizo ni kukataa kwamba mbeya hakuna wakristo wengi,Kwani sio kitovuni.. unguja ipo sawa na mbinga kiuislam?!
Na huu uchafu unafanywa na watu na wala sio dini
Vinginevyo ni chuki tu
Ukweli ni kwamba bara kwa maana ya bara hasa huo mchezo wanaupeneeeda kweeeeli
Kiasi cha kuona na vyeti kupeana