Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
[MENTION]lemonade[/MENTION] kipimo cha akili ni kumjua Mungu na hivyo kujua upo hapa duniani kumfurahisha mwanadamu au kumfurahisha aliyekuazima roho yake ujidai nayo kwa siku kadha wa kadha hapa ugenini
kwa lugha nyingine akili lazima ziwe ni busara na busara ni kuwa karibu na Muumba tu hakuna namna nyingine utaipata.....................
Got it! Ku indulge sana na mambo ya dunia mara nyingi kunatupozea sana, utaona eti wengine wanaita akili za kimaisha mfano jamaa amejenga na ana miradi kadhaa iko pia wengi ukichukulia ni kipimo huku wakisahau that important part you mentioned Rutashubanyuma
Last edited by a moderator: