Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
mpaka navaibrate,brriiiiii,yaani mpaka hapa nshaanza kutoa jasho nachagua nguo wakati huu nilisha ita bajaj ijeinichukue,maana si unajua bahati uja mara moja
Last edited by a moderator:
ah hapo itakua ngumu mkuu, we chagua jf nzima but madame B wangu niachie...
mkuu unaonaje tuonge biashara uniuzie madameB,Japo na mie nipate kitoto kidogo.maana gari bovu haliwezi vuta lyenzie,naitaji gari la kunivuta madameB atanifaa.
laazizi Junior. Cux,niache nikamchune hela tuje kufaidi wote.
Au we hujui michezo ya mjini?
Au unaogopa atanogewa?
umejuaje kama ninamafedha?maana akaunt yangu nimetega karibia na akaut za akina riz-one huwa zikijaa zinaangukia kwenye akaunti yangu
umejuaje kama ninamafedha?maana akaunt yangu nimetega karibia na akaut za akina riz-one huwa zikijaa zinaangukia kwenye akaunti yangu
kweli Ruhazwe JR?
Basi ucfunge mlango,uegeshe nikija naingia nao. Junior. Cux yupo kuleee...!! anakula bata.
Junior utawezaaaa?Hili swali halijanitendea haki, ungejaribu kusema na wakina nani.. kwa upande wangu mmoja hata ntosha.!!!
beibe nasty
madame b
smile
charminggirl
mamdenyi
na yule mwingine mweupe mweupe..
hapo kidogo ndo itasaidia.!!
ah hiyo mbona kazi ndogo[MENTION] beibe nasty[/MENTION] hapo ndo kidogo ntapata usingizi ila ka unaweza kuniongezea rist rukxa ila[MENTION] madame B [/MENTION]asijueJunior utawezaaaa?
usijali ntakupooza mamaawivu cna ila roho yaniuma mie... message sent and delivery!