Baba Hellen
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 763
- 91
Raisi ajae 2015 awe naupande gani kati ya hizi zifuatazo upande a
1 safari za mamtoni kila siku
2ajaze maswahiba na wakwe na mashemeji serikalini
3avunje baraza la mawaziri kwa kuwalinda mafisadi
4asijue chanzo cha umasikini wa raia zake
5atoe maeneo nyeti ya taifa kwa wazungu
6aunde vimikoa na viwilaya ili maswahiba wapate ajira
7 dhaifu
8uzalendo kando
upande b
1mchapa kazi
2uswahiba kando
3apinge kwa vitendo rushwa
4ajira kutokana na uwezo wa muhusika
5mabwe pande pawe kituo cha haki za binadamu
6waizi wa kuku wa chapwe viboko mafisadi ndio wa eende keko
toa maoni yako huku ukizingatia kwamba tanzania ya leo na kesho ipo mikononi mwako
1 safari za mamtoni kila siku
2ajaze maswahiba na wakwe na mashemeji serikalini
3avunje baraza la mawaziri kwa kuwalinda mafisadi
4asijue chanzo cha umasikini wa raia zake
5atoe maeneo nyeti ya taifa kwa wazungu
6aunde vimikoa na viwilaya ili maswahiba wapate ajira
7 dhaifu
8uzalendo kando
upande b
1mchapa kazi
2uswahiba kando
3apinge kwa vitendo rushwa
4ajira kutokana na uwezo wa muhusika
5mabwe pande pawe kituo cha haki za binadamu
6waizi wa kuku wa chapwe viboko mafisadi ndio wa eende keko
toa maoni yako huku ukizingatia kwamba tanzania ya leo na kesho ipo mikononi mwako