Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Wakubwa,
Mimi ni mtanzania ninayependa maendeleo ya nchi yangu na mtazamo chanya wa mambo. Naomba nitumie post hii kutoa wito kwenu mtakaobahatika kusoma post hii kushauri ni nini hasa uongozi mpya ufanye kwenye kipindi cha miaka mitano ijayo. Yawezekana tunalaumiana kwa sababu hatupeani ushauri mzuri pia.
asante.
Mimi ni mtanzania ninayependa maendeleo ya nchi yangu na mtazamo chanya wa mambo. Naomba nitumie post hii kutoa wito kwenu mtakaobahatika kusoma post hii kushauri ni nini hasa uongozi mpya ufanye kwenye kipindi cha miaka mitano ijayo. Yawezekana tunalaumiana kwa sababu hatupeani ushauri mzuri pia.
asante.