W.Slaa anafaa sana kati ya hao watatu. sijaona ubaya wake zaidi ya jitihada anazoonyesha kupigania wanyonge. H.Mwinyi naogopa asijeiua nchi kama alivyofanya dingi yake enzi za utawala wake. mzee wa independent lowasa hafai hata kuonekana kwenye huu ukurasa. sifa zake mbaya, mtu mwenye tamaa tamaa ya mali, mwizi mwizi, richmond yeye, ametuibia ametosha hatumuhitaji tena.