PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Wewe kama mwana chadema ungependa nani awe mbunge wako au nani agombee ubunge katuka jimbo unali toka au unaloishi kupitia chama cha demokrasia na maendeleo ifikapo mwaka 2015?
Tuwekee wasifu wake katika jamii ya wavujajasho wa kitanzania na nini kikushawishi awe mbunge wako.
Tuwekee wasifu wake katika jamii ya wavujajasho wa kitanzania na nini kikushawishi awe mbunge wako.