Ungepata fursa ya kuongea na Rais wa nchi,kwa niaba yetu ungemweleza nini?

Wanajamii forum wenzangu,najua kila mmoja wetu ana mtazamo wake.Tuweke itikadai zote pembeni,bado utabaki MTZ na mzalendo.Sasa,imetokea kama bahati Uso kwa Uso na Rais.Labda tu amekuita au amekuchukua njiani baada ya kuona unanyeshewa mvua,ndio mmekaa pale White house mnapata kahawa ya Maziwa ktk kuondoa baridi.Pengine yakaja maswali kwako,mf.Watu wanauzungumziaje uongozi wangu? Au,Una ushauri/maoni gani kuhusu Uongozi wangu?.Na mengine ambayo Mkuu huyo angeona yanafaa.JE WEWE UNGEMSAIDIAJE KIONGOZI WAKO HUYU KWA NIA NJEMA KABISA?Naomba kuwasilisha WanaJF
Kwanza ningeanza kwa kumlaumu ni kwanini aliona agombee tena wakati uwezo wake umejiddhihirisha wazi jinsi alivyoshindwa kutekeleza hata robo ya ahadi zake. Pili ningeendelea kumuuliza baadhi ya vigezo anavyotumia kuteua Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi, na Mawaziri kama Hawa Ghasia etc
 
Mimi rahisi sana ningemwambia atumie wiki moja, kutembelea jiji la Dar Es Salaam kwa kutumia usafiri wa kawaida, asitumie misafara na kila anapotita ajaribu kwa makini kuangalia matatizo ya wananchi wake bila kumuuliza yeyote...kisha arudi Ikuli na atujibu hili swali "KWELI HII NDIO TANZANIA TUNAYOITAKA"
 
Ningemwambia kwanini anapenda Phd za mafungu,na hapendi kusoma!hivyo aingie class kutetea Phd hizo!
 
Ndo maana hii nchi haiwezi kuendelea kumbe wengi bado mnapenda mkwe.re. Nimegundua watz wengi ni vilaza hata tupate shida hatukomi kuchagua mateso. Kumbe hata akigombea sasa hivi huyu m.kwe.re anapita. Nilijua watu watachangia kwa kumshauri AJIUZULU coz nchi imemshinda hata akishauriwa hashauriki huyu jamani huyu mimi napata nafasi ya kuongea nae ni kumshauri ajiuzulu tena ndo atapata heshima zaidi kwa uzalendo akifanya hivyo. Jibu ni fupi tu ajiuzulu basi na si bla bla hizo hapo juuuuuuuuuuuuuuuuu. Naomba mnisamehe kama nitawakwaza mliochangia ila kiukweli huyu mkweere anakera sana
 
Ningemuuliza iwapo anapataje usingizi???

na je anawaamini kweli watendaji na washauri wake?
 
Back
Top Bottom