Theodora
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 802
- 570
Nawasabahi wote wanaMMU. Kuna wakati unadhani ya kwako mazito hadi usikie ya mwenzako aisee.
Rafiki yangu yuko kwenye mahusiano na jamaa na wana mtoto sasa eti kamtumia ujumbe wa sms jana 'kuna binti nimempa mimba.
Nimeshindwa kumshauri maana najua advise yangu ingekuwa negative.
Maana jamaa ninavyomfahamu uaminifu ni zero. Na mimi nilifanya maamuzi magumu kwenye maisha yangu muda sio mrefu kwenye mambo hayohayo ya uaminifu.
Je, ungemshauri vipi?
Rafiki yangu yuko kwenye mahusiano na jamaa na wana mtoto sasa eti kamtumia ujumbe wa sms jana 'kuna binti nimempa mimba.
Nimeshindwa kumshauri maana najua advise yangu ingekuwa negative.
Maana jamaa ninavyomfahamu uaminifu ni zero. Na mimi nilifanya maamuzi magumu kwenye maisha yangu muda sio mrefu kwenye mambo hayohayo ya uaminifu.
Je, ungemshauri vipi?