Ungekuwa wewe ungejitetea vipi?

Bongemzito

Senior Member
Nov 5, 2010
162
19
Tuchukulie upo na mpenzi wako mmetoka faragha siku moja na huwa mnakaida mkienda ku..duu huwa mnatumia condom,sasa siku iyo upo nae unatoa kile kipakti akaziona badala ya kuwa tatu siku iyo ziko mbili akakuuliza iyo moja umeipeleka wapi? au umeitumia na wengine c unajua wanawake kwa wivu...ni swali ambalo hukutegea kuulizwa.
 
Back
Top Bottom