kamati
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 240
- 109
Ndugu zangu nimejitokeza kwenu kuomba msaada.Mimi ninaishi na kaka yangu ila kaka yangu ana mke na kaka yangu mda mwing hayupo huwa anasafiri kikazi na huwa anakaa miezi mitatu anapokuwa kazini na akirud anakaa rikizo kwa mda wa siku 28 sasa kwa mda ambao kaka anakuwa hayupo mambo anayofanya shemeji yanakera unakuta shemej yangu anarud mpaka saa nane uciku amelewa mpaka anajikojolea mimi binafsi inaniuma saana kuona anavyomfanyia kaka na yangu ananipenda saana ananihudumia kila kitu ila nashindwa kumwambia kaka kwa huhofia kuvunja ndoa imefikia hatua shemeje ameanza mpaka kuja na wanaume wanamleta home kwa gari night na mimi namfungulia get kiukweli inaniuma jaman mimi binafsi nimeamua nihame nyumbani nikapange tu kwa sababu ya haya maudhi jaman naombeni msaada wa mawazo nikimwambia je shem atanielewaje endapo wacipoachana na je nikikaa kimya kaka atanielewaje ciku akijua? Na nina uhakika atajua kwani mungu hafich mnafiki nisaidien mawazo mdogo wenu