Ungekuwa wewe ungefanyaje??

Fidel haya mambo mbona ni ya kawaida kabisa siku hizi na midume kibao inaminya inajitia hamnazo? Maisha yamekuwa magumu Fidel hadi mtu anajisemea "ah bana eh kwani anaondoka nayo?".Ukifuatilia unakuta kinachoponza wanaume wa dizaini hiyo mara nyingi ni kupenda maisha ya juu kuliko kipato chao halisi,hivyo mama aki 'subsidize' mzee anaona poa tu,si unajua ule msemo wa 'ukimfuatilia sana nyuki asali huli"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom