Ungekuwa wewe ungefanyaje, mimi ningeshindwa kujizuia etih mke wa mtu Sumu.

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
868
1,385
Haaa etih wakuu hivi inatokea unamkuta mtoto mkali magheto na haujajipanga siku hiyo unamwambia atoke nje anakataa, na yeye anaforce tu mfanye pamoja, we ungefanya nn?

Pamoja na kwamba msichana kupewa pia ni haki yake lakini dah sio kwa kulazimisha hivi, ungeweza kweli kusema hapana au ndo kama mimi ningemrukia hapo hapo bila kuchelewa
 
Haaa etih wakuu hivi inatokea unamkuta mtoto mkali magheto na haujajipanga siku hiyo unamwambia atoke nje anakataa, na yeye anaforce tu mfanye pamoja, we ungefanya nn?

Pamoja na kwamba msichana kupewa pia ni haki yake lakini dah sio kwa kulazimisha hivi, ungeweza kweli kusema hapana au ndo kama mimi ningemrukia hapo hapo bila kuchelewa

Hayo mavaz yao wakina uwoya ndiyo yalifanya wengine tuone bongo movie sio sehemu sahihi kuangalia na wazaz au watoto .
 
Wewe mkuu hivyo vituko vya bongo movies navyo unavitilia maanani kweli?
 
Inasikitisha sana...

Kama unamsimamo, unakataa, na kukemea...

Kwa mahondaw wangu kabla hata hajafungua mdomo tayari nishamnyanyua...


Apart from that washindwe na walegee...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom