jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Ungekuwa wewe ndio upo ndani ya hili gari ungefanya nini? Na unahisi watu waliokuwepo kwenye gari hili wapo kwenye hali gani?
mzee wa Rula unakumbuka siku ile Tarangire, si na sisi ilitukuta kasheshe inayofanana na hii?Ni kuzima gari kabisa, tembo hapendi kelele na kungojea majaliwa ya mtume.
Ni kuzima gari kabisa, tembo hapendi kelele na kungojea majaliwa ya mtume.
mzee wa Rula unakumbuka siku ile Tarangire, si na sisi ilitukuta kasheshe inayofanana na hii?
Mlifanya nini?mzee wa Rula unakumbuka siku ile Tarangire, si na sisi ilitukuta kasheshe inayofanana na hii?
Wana JF tuliendaga Tarangile,sasa wakati tupo mbugani tulikutana na kundi la tembo tukiwa ndani ya kiasi,ilibidi tuzime gari mpaka wapite.tulisimama kwa muda,na watu waliingia uoga wakawa kimyaMlifanya nini?
Fungua kioo, mtekenye, anakimbia na wewe unasepa
Sisi tulifanya hivyo hivyo Serengeti tembo alicheka mpaka akadondoka sie tukaendelea na safari.Fungua kioo, mtekenye, anakimbia na wewe unasepa
Namwambia shikamoo kaka tembo...