Ungekuwa wewe ungefanya nini ??????

Zuia Sayayi

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
841
133
Jaman wana jf kuna kabinti 2napendana sana lkn hanijui wala cmjui but 2najuana kwa cm 2 na yeye anaonekana ananipenda coz haipiti cku bila kunipigia cm na wakati mwingine hunipigia cm na huni2mia hata vocha na kunisihi nisome kwa bidii huku akini sms kuwa nisimsahau maisha jaman naomaen ushauri, huyu she ananipenda kweli...? :
 
Wataalam Wamelala Lakini watakujibu wakiamka, lakini weka mambo hadharani mlifahamiana wapi au ktk mitandao ya kijamii?
 
We unataka akufanyie ni ndo uamini kuwa mwenzio anakupenda.....jamani? Hebu tuambie rafiki, we wasiwasi wako ni nini eti?
 
Jaman wana jf kuna kabinti 2napendana sana lkn hanijui wala cmjui but 2najuana kwa cm 2 na yeye anaonekana ananipenda coz haipiti cku bila kunipigia cm na wakati mwingine hunipigia cm na huni2mia hata vocha na kunisihi nisome kwa bidii huku akini sms kuwa nisimsahau maisha jaman naomaen ushauri, huyu she ananipenda kweli...? :

kama hujamwona kwa macho ni noma Mkuu. Anaweza kuwa anasura kama ya Pinda!
 
Jaman wana jf kuna kabinti 2napendana sana lkn hanijui wala cmjui but 2najuana kwa cm 2 na yeye anaonekana ananipenda coz haipiti cku bila kunipigia cm na wakati mwingine hunipigia cm na huni2mia hata vocha na kunisihi nisome kwa bidii huku akini sms kuwa nisimsahau maisha jaman naomaen ushauri, huyu she ananipenda kweli...? :
Hijalishi mmekutana wapi, cha msingi fanya mpango mkutane,na muongee mpeane mda wa kufahamiana na ukiona mnaendana na vigezo vya mke unaemtaka wewe vipo basi sema nae manze rasmi safari ya mapenz na km ukaonna hamuendani na vigezo uvitakavyo hana mwambie mapema ili ajue na asiwe na malengo nawe!
 
Namba ya cm yako kaipataje, unafahamu kuwa ni binti na cio Mama wa umri wa Mama yako. Fanya mpango ukutane naye face 2 face halafu utaamua kama uwekeze au upotezee.
 
Mi naona kama vile wewe ni she....! Then this story is happening on you, so you are trying to evaluate how can you be interpreted by your lover.....! Vinginevyo, story yako haijakamilika, au binti huyo atakuwa anaishi baharini....! Changanya na zako...!
 
Wataalam Wamelala Lakini watakujibu wakiamka, lakini weka mambo hadharani mlifahamiana wapi au ktk mitandao ya kijamii?

Hivi kama kweli unampenda kwa nini husimtafute walau umuone kwanza den mengine yatafuata. NA mlijuliana wapi?
 
kuwa mwangalifu, haiwezekani kumpenda mtu ambaye hujaona hata picha yake, usijidanganye muonekano wa mtu ni muhimu ktk swala zima la mapenzi. huyo hajakupenda bali anapenda sms zako na sauti yako the same to you.
 
kuwa mwangalifu, haiwezekani kumpenda mtu ambaye hujaona hata picha yake, usijidanganye muo
nekano wa mtu ni muhimu ktk swala zima la mapenzi. huyo hajakupenda bali anapenda sms zako na sauti yako the same to you.

Hapa naona mihemuko tu ya ngono.......hamna mapenzi,wote wanafikiri kwa sehemu inapokutana maungio ya miguu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom