Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
{MGONJWA}:Haya mganga,yule Beberu ambaye hajawahi kula mazao kwenye shamba la watu ndo huyu na Jogoo mwenye umri wa miaka miwili na nusu huyu hapa,fanya mambo unitibu ugonjwa wangu. {MGANGA WA KIENYEJI}:Nimecheki kwenye darubini yangu inaonesha una malaria kali iliyotokana na kuumwa na mbu majike wa usiku wa manane ambao wanatumwa na jirani yako,nakushauri ukanywe mseto(ALU) dozi nzima utapona.