Sina.Una mia nikupe mia mbili?
Haya majibu yako vizuri, yameshiba.Dereva simamisha gari ashuke huyu dingi anazingua
Oya mama kaa pale mwambie huyo asimame hana nauli anadhani sie tuna sheli ya mafuta
Kama uliona nauli haitoshi kwanini hukutembea kwa miguu kelele nyingi kumbe huna nauli
mafuta hawapunguzi hata senti moja!Konda nimepungukiea shillingi mia.
Jibu kama konda wa kibongo
Assalaam alaykhum shogaaKosa kubwa nikupanda bila kusema ana nauli pungufu
Alitakiwa aseme chini kabla ya kupanda lakinimia tuhaina shida japomaneno yake angekoma
Assalaam alaykhum shogaa
Konda hawezi kukusikiliza if huna kitu,me huwa napanda tuKosa kubwa nikupanda bila kusema ana nauli pungufu
Alitakiwa aseme chini kabla ya kupanda lakinimia tuhaina shida japomaneno yake angekoma
hamna kitu sipendi kama kugombana na nakonda, kwanza siwezi hua naona mtu anaombea chini mia tatu msaada na anabebwaKonda hawezi kukusikiliza if huna kitu,me huwa napanda tu
Alhamdulillah niko salama,.nijuze khali yako tafadhali,.Waaleyqum salaaam shoga angu umesalimika
Alhamdulillah niko salama,.nijuze khali yako tafadhali,.
Allah jayid,.Alhamdulillah ninapumua bado
Akimjibu THE MAN"you son of the bitch an article of no comercial value, do you think this bus belongs to your grand father?"
Haya ni maneno ya konda mmoja kutoka kwenye kitabu cha "THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN"
Piga nyama chini unazinguaKonda nimepungukiea shillingi mia.
Jibu kama konda wa kibongo