Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,967
- 14,713
Hivi ni kwanini kimiliki nyumba au ardhi Marekani ni ishu sana?
Naisi utaambiwa unatakatisha fesaMzee baba ukiwa na laki nani za usd dollars unaweza ukala bata hapa bongo watu tukakukimbia
Hahaa hahaaaaNaisi utaambiwa unatakatisha fesa
Nadhani ardhi kule ishamilikiwa yote na sheria zakule nadhani zinamlinda mmliki sio kama kwetu ardhi sio ya mtu binafsiHivi ni kwanini kimiliki nyumba au ardhi Marekani ni ishu sana?